The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,052
Halafu wewe ngoja kwanza maana umeniacha hoi leo...Kwasababu anakua ameshtukiza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe ngoja kwanza maana umeniacha hoi leo...Kwasababu anakua ameshtukiza?
To be honestly wanajamvi me huwa nina ujasiri wa kifisadi... nikona mambo hayaeleweki namwambua tu "naomba kuanzia leo uhusiano uishe" akiuliza sababu najidai me ndo mwenye makosa ili yaishe.........
Coward and patheticTo be honestly wanajamvi me huwa nina ujasiri wa kifisadi... nikona mambo hayaeleweki namwambua tu "naomba kuanzia leo uhusiano uishe" akiuliza sababu najidai me ndo mwenye makosa ili yaishe.........
Hahahaha!! Haya banaa santeeeee....We nawe. . .kwahiyo nlivyokua nasubiria urudie mara ya tatu ndo nimekuacha hoi? Embu acha hizo!!
Heehe. . .sio lazima iwe hivyo lakini.That reminds of 'it's not you, it's me...I just think you are too good for me'
So lame and corny!
Coward and pathetic
hahahaaaa mwabie lizzy!Heehe. . .sio lazima iwe hivyo lakini.
Yaweza kuwa "Sina hisia nawe/sikupendi tena/nahitaji muda kutafakari maisha yangu yanapoelekea MWENYEWE! "n.k
Heehe. . .sio lazima iwe hivyo lakini.
Yaweza kuwa "Sina hisia nawe/sikupendi tena/nahitaji muda kutafakari maisha yangu yanapoelekea MWENYEWE! "n.k
Kwangu mie natamani niambiwe mara moja, ila kwa mwenzi wangu, nitaangalia kwanza uelewa na ustaarabu wake....Sitaki kuondoka na damu ya mtu kwenye viganja vyangu!
Babu DC!!
Hahahaha. . .sindo anakua anataka break from everybody and everything ili apate nafasi ya kuwa na mpenzi wake mpya bana.Hizo lines mbona ziko nyingi....kuna hii pia...'I just need a break from everybody and everything'...kumbe mwenzio hapo keshapata mwingine.
Ila kumuambia mtu humpendi tena is kinda brutal....mtu kama ana moyo mwepesi anaweza akazimia kabisa. Ndiyo maana wengi huwa wanatafuta njia za kidiplomasia zaidi.
Hahahaha. . .sindo anakua anataka break from everybody and everything ili apate nafasi ya kuwa na mpenzi wake mpya bana.
Hivi ehhhh? Sikuwahi kufikiria kwamba inaweza kumuuma sana mtu kuambiwa hivyo. . .naonaga kama ni ukweli unaopokeleka!!
Sasa si anajaribu kutokuwa mean? I mean come on. . .we utajisikiaje mwenzio akikwambia moja kwa moja kwamba "nataka kuachana na wewe ili niwe na yule"?! Moja kwa moja unajua kwamba that other guy is better than you (kwa huyo bibie that is).Hapo akisema 'I need a break from everybody and everything (including dating)'....anakuwa anakupa viashiria kuwa hataki ku-date. Sio kwamba anakuambia 'I need a break from you so I can date "him". So basically you are led to believe that she just doesn't want to date anyone right now....kumbe holaaaa.
Well, they say truth hurts, don't they?
Wee ita tu mkwe jamaa ameishachukua mtu mwingine...STUKA...lolmkwe mzima wewe
biashara ya kukuacha taratibu bila kujua we unajibaraguza mwenzako ashakuweka kapuni siku mingi hapana bora nieleze mapema nilianzishe itakuumiza lakini maisha yatasonga mbele pia inaweza kukuumiza zaidi pale utakapogundua uliachwa siku mingi lakini akaact kukupenda
Wee ita tu mkwe jamaa ameishachukua mtu mwingine...STUKA...lol
Babu uzuri ni kwamba ulipofikia na bibi hamna break ups. . .labda kama umezidi vituko haswaaaa.
Sasa si anajaribu kutokuwa mean? I mean come on. . .we utajisikiaje mwenzio akikwambia moja kwa moja kwamba "nataka kuachana na wewe ili niwe na yule"?! Moja kwa moja unajua kwamba that other guy is better than you (kwa huyo bibie that is).
Yeahh. . .I guess it does. Inabidi watu wawe wanaweka na kauongo kidogo basi.