Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,625
- 58,327
- Thread starter
- #201
Mwambie kabisa kama kuniacha anichane live biashara ya visingizio sio juzi nampigia simu hapokei wala sms hajibu mwambie sitakunywa panadol
Hahahaha. . .ngoja aamke nimfikishie ujumbe wake. Ila ye nae alikia na wasiwasi kwamba ndo ushamtupa kwa karanga za kuonjeshwa.