Break up. . .

Kwa jinsi ninavyoelewa, siku zote kuna aina tofauti ya mahusiano baina ya mwanamke na mwanaume.

1.Mahusiano ya kindugu
2.Mahusiano ya kirafiki
3.Mahusiano ya kimapenzi
4.Mahusiano ya kijamii

Sasa mie nitagusa hapo kwenye mahusiano ya KIMAPENZI:
Mahusiano ya kimapenzi nayo huwa yamegawanyika katika namna mbalimbali
1.Kuna mahusiano ambayo hatma yake ni ndoa, haya ni yale ya muda mrefu - Closed relationship
2.Kuna mahusiano ambayo hayana malengo yoyote, mahusiano ya wazi - Open relationship
3.Kuna mahusiano ya kingono tu. - sitaweka neno la kiingeereza kwani hili si jukwaa husika

Sasa basi wakati muhimu ya mahusiano ni mwanzo, hapo ndipo uhusiano uwekwa bayana baina ya wawili...
Break up inayohusu Uhusiano namba 1 bila shaka itakua ni ngumu na itawaumiza wahusika wote
Break up inayohusu uhusiano namba 2 na 3 nadhani haina madhara sana.

Sasa kutoa jibu kwa LIZZY nadhani namna bora ya kubreak up, ni kuzungumza kwa namna ileile ambayo ilitumika katika kuanzisha uhusiano kutegemea na LENGO lile la awali.
Asante sana Watu8. . .
Basi inabidi consideration wakati wa kuachana iwepo zaidi iwapo mahusiano yalikua yenye malengo ya mbali kati ya wapenzi/wenzi hao. Zaidi ya hapo ni kiasi tu cha kupeana ruhusa kila mmoja akatafute wakumfaa zaidi.

jr. . .asante JR.. . nakubaliana na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Dah, sijawa mkali
Ila inauma, bora tu aseme clear and sharp kuliko kill me softly.

Konnie mbona umekuwa mkali?
Kama ilivyo kukutana na kuanza mahusiano, hatua inayoweza kufuata ni kuachana. Tukubali tu na tuwe tayari kupata na kupoteza pale inapobidi.
 
Lizzy ....you are special! Heri yake atakayekuoa!

I wish. . .

CANta. . .
Alikua na kazi kweli. Hao ni sawa na wale wanaotishia kujiua. . .anakushinikiza kubaki.

@Fynest. . . no you don't. Embu nishtue. . .
 
Last edited by a moderator:
Kuna namna ambayo ni more suitable kuachana na mtu ambae let say hajakukosea zaidi ya kumweka chini siku moja na kumwambia "mimi na wewe hivi au vile. . . "?!? Yani unataka kumwacha kwa sababu zako binafsi (umemchoka, humpendi tena, umepata mwingine, umeona mahusiano yenu hayatoenda popote n.k)???!

Kama ni wewe mwachwaji. .unaprefer kuachwa mara moja (kashajua anakuacha akwambie mara moja) au kuachwa taratibu(anakutafutia pozz la kukuacha hata kwa miezi huku ukijua bado mpo kama kawaida)??! Kwanini?

mie naprefer kuachwa mara moja yaani muhusika akijisikia hanihitaji tena aende straight to the point kua hanitaki tena na anipe sababu! Ntaumia but ntampa baraka zote..sioni haja ya mtu kukungangania na wakti ameshakuchoka na hana future yoyote na wewe kwa sababu atazidi kukuumiza coz he/she doesn't care anymore! Ya nini kuzibiana riziki bana aniache imediately sio polepole mradi tu awe na sababu..
 
usione mahali nimeweka mguu aya mchukue basi
Jaman smile hebu jiamin japo kidogo basi,hilo pande kanisakizia bishanga ndio nikamwabia TF ana wake!!
Ndio TF kaniomba nimlindie wewe!!
Soma vizuri utaelwa bana,
Mie Rejao ananitosha wala sitaki mwingine!
 
Swaiba salama lkn?
Hane muni mwaka???

Usijali hilo nalimudu sana nitakua namwangalia kwa karibu kbs!
Yule mwingine ulimwachaje?slow slow au ulifunguka live mkamalizana?
Hahahaha!!! Nilikuwa nimeenda na kuwinda kabisa
 
Kweli Mende... sema wakati mwingine unaweza kuta huyo unayemwacha nae alikua anasubiria muda tu.


Unaumia sana unae achwa lakini huyo anae kuacha yeye anaona amepunguza mzigo flani katika kichwa chake
 
I wish. . .

CANta. . .
Alikua na kazi kweli. Hao ni sawa na wale wanaotishia kujiua. . .anakushinikiza kubaki.

@Fynest. . . no you don't. Embu nishtue. . .
There is no good way to break up with somebody whether you are nice, mean or nasty in ending it up you're still going to hurt another person feelings and emotions
 
There is no good way to break up with somebody whether you are nice, mean or nasty in ending it up you're still going to hurt another person feelings and emotions

Zote ni sehemu ya maisha. . .la muhimu tukubali yakitokea yakutokea.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom