Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,030
mazee never tamkia mwanamke sikutaki tena,hatakaa asahau hilo neno hadi kaburini,ujanja ni kumpotezea taratibu without causing much pain,that way siku moja moja mnaweza kuwa mnakumbushiana aisee,kuna ukame ati.Huwezi kumwambia dry kwamba leo ninakuacha.., (inategemea busara zake ila inabidi kumwambia.., )
Option ya kuanza kumfanyia visa ili akuache (hapo unacreate enemy) wakati kama mgekuwa grown-ups na kuonyesha kwamba kwa sasa inabidi ku-part ways.., unaweza ukampoteza mpenzi lakini ukabaki na rafiki.., ukifanya visa hapo unaweza ukatengeneza uadui.
Ni kuwa open (kulingana na busara za mtu), Time heals after some time atakusahau ila utabakia an EX (a friend na sio yule bwana mwenye visa, Shetani)