sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,505
- 41,745
Hamna ila naweza piga pesa kukusaidia kuwagawa....!Kuna yeyote unamtaka kwani?
Hamna ila naweza piga pesa kukusaidia kuwagawa....!Kuna yeyote unamtaka kwani?
dah unataka hadi kulala?? Basi entrance iwe 20kKULALA KUWEPO
Teh teh..Tafuta shughuli nyingine kijana..siuzi wala sigawi mtu..Hamna ila naweza piga pesa kukusaidia kuwagawa....!
Weee! Nani katoa ruksa?Mimi na bebiii miss chagga tutakua visiwa vya Ibiza tunatoa udhuru....
Kalagabaho... nshapeleka viondi tayarWeee! Nani katoa ruksa?
Sijapokea Posa yako Kwa Mpwa wangu bado.
Walahi nitakushusha Kizigooo.
Nyani Ngabu haruhusiwi kabisa kwenye hii mambo, kwa mkakati wake wa kuwagonga, hapo ndio atapiga double double!!!! Wekaga Mbali kabisa.
Beware of Ngabu!
.
Jana tu i was about to ask u; umeacha kupenda party? Uhiii haya nimepata jibu ah ah ah mama mashughuliSasa mtu na mama ake tunakosaje kwa mfano, tulipie tu mchango mapemaaaaaa lol
Kijumbe, hujasema muda ni kuanzia saa ngapi mpaka saa ngapi ili tuanze kuandaa mazingira ya KUAGA
‘Botellón’ is a group of people who meet in a public area to socialize and consume alcohol. The people buy the alcohol from local stores as a cheap alternative to an expensive night out. The phrases literally means “big bottle,” in Spanish Language.
Baada ya kuahirisha hafla hii kutokana na hali ya Mvua hivi sasa maandalizi yamekamilika.
Kwa ushirikiano mkubwa kutoka Jamii Forums tunaandaa Betollon-Get Together Party ambayo itafanyika hapo mnamo siku ya Ijumaa ya tarehe 29 Julai 2016 katika Ukumbi wa AZURA uliopo ufukweni maeneno ya Mikocheni karibu na Escape one mbele kidogo ya daraja la Kawe
Arrangement is very simple nunua vinywaji vyako na kama utaamua kuwa na vya ziada ni sawa kisha tunakutana hapo AZURA. Maandalizi ambayo yatafanywa na kamati ni kuhakikisha ukumbi unalipiwa mapema jambo ambalo limeshafanyika na maandalizi mengine ambayo yatafanyika kulingana na michango ya watakaohudhuria ni nyama choma, Kuku Mbuzi mzima wa ndafu na ndizi mzuzu.
Idea ya hii Botellon get together party ni networking na kupena fursa mbalimbali pamoja na kufurahi kwa pamoja.
Mchango unaotakiwa ni kiasi cha elfu Arobaini (Tsh. 40,000) kwa kichwa kwa ajili ya kununua Nyama choma, kukodisha viti na meza Mziki na maandalizi mengine yatakayohitajika.
Kutakuwa na meza maalum ambapo kutakuwa na welcome drinks ambapo kutakuwa na ya kilevi na ile isiyo na kilevi.
Michango itumwe kwa namba hizi kabla ya tarehe 20 July 2016 ili kufanikisha maandalizi ya ya Botellon yetu.
Michango itumwe kwa namba hizi
+255 745 200717
+255 719 904090
Namba hizo zitasoma Jamii Media.
Kwa maelezo Zaidi mnaweza kuni PM.
Anza na mimi mkuuNitafanya jitihada zote niwaone lumumba buku 7
Nitafanya jitihada zote niwaone lumumba buku 7
Mkuu hivi weewe ndio yule damtanzania???? OrMimi sitakuwepo ila nimependa sana idea big up kwa waandaaji