GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Boss Saalah Said Mohammed Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean na Mdogo wake wa Damu Tajiri wa Yanga SC Gharib Said Mohammed tunajua kila Kitu juu ya ahadi yako ya Tsh Milioni 30 kama wakiifunga Simba SC ijumaa kwa Mkapa.
Ufuatao ndiyo Mchanganuo mzima wa hiyo ahadi ya Tsh Milioni 30 kwa Klabu ya Tanzania Prisons kutoka kwa Tajiri Mdogo Saalah Said Mohammed (SSM)
Milioni 10 wamezitoa Yanga SC kwa Tanzania Prisons FC kupitia Ndumilakuwili Saalah ya Kuwaumiza Wachezaji wa Simba SC.
Milioni 10 umezitoa Mwenyewe kwa Tanzania Prisons ili isikubali Kufungwa na Simba SC Ijumaa.
Milioni 10 amezitoa Kaka yako mkubwa Gharib Said Mohammed kwa Tanzania Prisons FC kupitia Kwako kama itafunga Simba SC.
Na ulivyo Mnafiki Tanzania Prisons FC ilivyocheza na Yanga SC yako ulitoa ahadi ya Tsh Milioni 20 wakishida na wala hukutoa ya kama ikitoka Sare /Suluhu ila kwakuwa inacheza na Simba SC usiyoipenda umeweka ahadi ya Tsh Milioni 30 ambapo wakimfunga Simba SC ila Safari hii umeweka /umetoa ahadi ya Tsh Milioni 10 kama wakikomaa na kutoka Sare.
Wape hata Tsh Milioni 100, ila hiyo Ijumaa Klabu yako unayoidhamini ya Tanzania Prisons itafungwa tu na Simba SC kwa Mkapa na wala hutoamini kabisa.
Ufuatao ndiyo Mchanganuo mzima wa hiyo ahadi ya Tsh Milioni 30 kwa Klabu ya Tanzania Prisons kutoka kwa Tajiri Mdogo Saalah Said Mohammed (SSM)
Milioni 10 wamezitoa Yanga SC kwa Tanzania Prisons FC kupitia Ndumilakuwili Saalah ya Kuwaumiza Wachezaji wa Simba SC.
Milioni 10 umezitoa Mwenyewe kwa Tanzania Prisons ili isikubali Kufungwa na Simba SC Ijumaa.
Milioni 10 amezitoa Kaka yako mkubwa Gharib Said Mohammed kwa Tanzania Prisons FC kupitia Kwako kama itafunga Simba SC.
Na ulivyo Mnafiki Tanzania Prisons FC ilivyocheza na Yanga SC yako ulitoa ahadi ya Tsh Milioni 20 wakishida na wala hukutoa ya kama ikitoka Sare /Suluhu ila kwakuwa inacheza na Simba SC usiyoipenda umeweka ahadi ya Tsh Milioni 30 ambapo wakimfunga Simba SC ila Safari hii umeweka /umetoa ahadi ya Tsh Milioni 10 kama wakikomaa na kutoka Sare.
Wape hata Tsh Milioni 100, ila hiyo Ijumaa Klabu yako unayoidhamini ya Tanzania Prisons itafungwa tu na Simba SC kwa Mkapa na wala hutoamini kabisa.