YA NDANI KABISA: Ahadi ya Kampuni ya Silent Ocean kwa Prisons FC ikiifunga Yanga au ikitoka Sare ni ya Kuzuga tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,545
108,873
Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean aitwae Saalah ni mdogo wa damu kabisa wa tajiri wa Yanga SC Gharib mwenye GSM yake halafu na dogo Saalah ni mwana Yanga SC lia lia kama ilivyo kwa kaka yake.

Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka jikoni Yanga SC na hata kwa wana Simba SC walioko ndani ya Klabu ya Prisons zinasema kwamba, tayari biashara ilishamalizika, Prisons FC anakufa nyingi ili kuwafurahisha na kuwafariji wana Yanga SC kwa kipigo cha juzi na Ihefu FC.

Na kwamba ahadi waliyowapa Prisons FC juzi ni mkakati mpya wa kutuzuga wanamichezo ili wajifiche na utamaduni wa kipuuzi ulioshtukiwa wa kuhonga timu (wachezaji) na marefa (waamuzi).

Kaka mtu ameshapenyeza kwa wajelajela Tsh Milioni 25 na mkongwe Asukile Benjamin anajua kila kitu na ndiyo maana hata katika press conference yoo ya juzi muda wote uso wake ulikuwa na aibu, kwani alikuwa anajua kuwa anatudanganya na hata kutufanya majuha (fools) watu (wadau) wa mpira (soka) nchini.

Inawezekana vipi dogo Saalah (mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean) ambaye ni mwana Yanga SC, anapicha nyingi akiwa amevalia jezi mbalimbali za Yanga SC na muda mwingi habanduki kambini Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ya Yanga, huku akimhusudu hakuna mfano mshambuliaji Fiston Mayele leo hii aombee au afurahie Prisons FC aliyoipa ahadi ya kuzuga na ya kinafiki ili iifunge Yanga SC?

Silent Ocean nakuja na uzi wa kuhusu mkakati wenu wa siri ulioratibiwa vyema na ndugu zenu na wakubwa GSM hasa katika mpira wa Tanzania, udhamini wa vilabu vya Ligi Kuu na kuikomoa Simba SC.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
 
Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean aitwae Saalah ni Mdogo wa Damu kabisa wa Tajiri wa Yanga SC Gharib mwenye GSM yake halafu na Dogo Saalah ni mwana Yanga SC lia lia kama ilivyo kwa Kaka yake.

Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jikoni Yanga SC na hata kwa wana Simba SC Walioko ndani ya Klabu ya Prisons zinasema kwamba tayari Biashara ilishamalizika Prisons FC anakufa nyingi ili Kuwafurahisha na Kuwafariji wana Yanga SC kwa Kipigo cha Juzi na Ihefu FC na kwamba Ahadi waliowapa Prisons FC Juzi ni Mkakati mpya wa Kutuzuga Wanamichezo ili wajifiche na Utamaduni wa Kipuuzi ulioshtukiwa wa Kuhonga Timu ( Wachezaji ) na Marefa ( Waamuzi )

Kaka Mtu ameshapenyeza kwa Wajelajela Tsh Milioni 25 na Mkongwe Asukile Benjamin anajua kila Kitu na ndiyo maana hata katika Press Conference yoo ya Juzi muda wote Uso wake ulikuwa na Aibu kwani alikuwa anajua kuwa anatudanganya na hata kutufanya Majuha ( Fools ) Watu ( Wadau ) wa Mpira ( Soka ) nchini.

Inawezekana vipi Dogo Saalah ( Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean ) ambaye ni mwana Yanga SC, ana Picha nyingi akiwa amevalia Jezi mbalimbali za Yanga SC na muda mwingi habanduki Kambini Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ya Yanga huku akimhusudu hakuna mfano Mshambuliaji Fiston Mayele leo hii aombee au afurahie Prisons FC aliyoipa Ahadi ya Kuzuga na ya Kinafiki ili iifunge Yanga SC?

Silent Ocean nakuja ns uzi wa kuhusu Mkakati wenu wa Siri ulioratibiwa vyema na Ndugu zenu na Wakubwa GSM hasa katika Mpira wa Tanzania, Udhamini wa Vilabu vya Ligi Kuu na Kuikomoa Simba SC.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Unaangaika sana na Yanga, Unaumia sana na Yanga halafu mwisho wa siku unajifanya unaijua sana Yanga halafu haufanyi maamuzi ya kukusanya ushahidi na kuipeleka kwenye timu yako ya Simba ili kuifungulia kesi timu ya Yanga kwa makosa ya rushwa na upangaji wa matokeo. Kifupi unaonesha jinsi ulivyokuwa bingwa wa kueneza uongo na propaganda. Sidhani kama unapenda kuona mafanikio ya Yanga katika ligi kuu hivyo kama ingekuwa unayoongea yana ukweli, ungeshafungua rundo la kesi na ushahidi ili Yanga ipokonywe point ili furaha iwe upande wako. Ila umekuwa mbwa koko, kelele nyingi vitendo sifuri

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean aitwae Saalah ni Mdogo wa Damu kabisa wa Tajiri wa Yanga SC Gharib mwenye GSM yake halafu na Dogo Saalah ni mwana Yanga SC lia lia kama ilivyo kwa Kaka yake.

Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jikoni Yanga SC na hata kwa wana Simba SC Walioko ndani ya Klabu ya Prisons zinasema kwamba tayari Biashara ilishamalizika Prisons FC anakufa nyingi ili Kuwafurahisha na Kuwafariji wana Yanga SC kwa Kipigo cha Juzi na Ihefu FC na kwamba Ahadi waliowapa Prisons FC Juzi ni Mkakati mpya wa Kutuzuga Wanamichezo ili wajifiche na Utamaduni wa Kipuuzi ulioshtukiwa wa Kuhonga Timu ( Wachezaji ) na Marefa ( Waamuzi )

Kaka Mtu ameshapenyeza kwa Wajelajela Tsh Milioni 25 na Mkongwe Asukile Benjamin anajua kila Kitu na ndiyo maana hata katika Press Conference yoo ya Juzi muda wote Uso wake ulikuwa na Aibu kwani alikuwa anajua kuwa anatudanganya na hata kutufanya Majuha ( Fools ) Watu ( Wadau ) wa Mpira ( Soka ) nchini.

Inawezekana vipi Dogo Saalah ( Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean ) ambaye ni mwana Yanga SC, ana Picha nyingi akiwa amevalia Jezi mbalimbali za Yanga SC na muda mwingi habanduki Kambini Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ya Yanga huku akimhusudu hakuna mfano Mshambuliaji Fiston Mayele leo hii aombee au afurahie Prisons FC aliyoipa Ahadi ya Kuzuga na ya Kinafiki ili iifunge Yanga SC?

Silent Ocean nakuja ns uzi wa kuhusu Mkakati wenu wa Siri ulioratibiwa vyema na Ndugu zenu na Wakubwa GSM hasa katika Mpira wa Tanzania, Udhamini wa Vilabu vya Ligi Kuu na Kuikomoa Simba SC.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Mwaga upupu gongowazi wajikune hadi ngozi zibabuke
 
Unaangaika sana na Yanga, Unaumia sana na Yanga halafu mwisho wa siku unajifanya unaijua sana Yanga halafu haufanyi maamuzi ya kukusanya ushahidi na kuipeleka kwenye timu yako ya Simba ili kuifungulia kesi timu ya Yanga kwa makosa ya rushwa na upangaji wa matokeo. Kifupi unaonesha jinsi ulivyokuwa bingwa wa kueneza uongo na propaganda. Sizani kama unapenda kuona mafanikio ya Yanga katika ligi kuu hivyo kama ingekuwa unayoongea yana ukweli, ungeshafungua rundo la kesi na ushahidi ili Yanga ipokonywe point ili furaha iwe upande wako. Ila umekuwa mbwa koko, kelele nyingi vitendo sifuri

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Aliyekuambia naipenda Yanga SC nani?
 
Gentaaaaaaaaa
'The Great' na Taarifa zangu huwa sizibahatishi kwani waliko nami niko japo 99% ya Watu wanapokuwa peke yao hawajui kuwa miongoni mwao GENTAMYCINE huwa nimejaa tele ( nipo ) na Silaha yangu Kubwa ni kuwa Pretender na Sometimes kujifanya kama Ngumbaru ( Mjinga ) au Hamnazo ( Kipa Katoka ) fulani hivi hali ambayo kwa 99.9999% inanifanya nipate Taarifa nyingi Ngumu, Nyeti na za Hatari.
 
'The Great' na Taarifa zangu huwa sizibahatishi kwani waliko nami niko japo 99% ya Watu wanapokuwa peke yao hawajui kuwa miongoni mwao GENTAMYCINE huwa nimejaa tele ( nipo ) na Silaha yangu Kubwa ni kuwa Pretender na Sometimes kujifanya kama Ngumbaru ( Mjinga ) au Hamnazo ( Kipa Katoka ) fulani hivi hali ambayo kwa 99.9999% inanifanya nipate Taarifa nyingi Ngumu, Nyeti na za Hatari.
Kwenye michezo lakini
 
Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean aitwae Saalah ni mdogo wa damu kabisa wa tajiri wa Yanga SC Gharib mwenye GSM yake halafu na dogo Saalah ni mwana Yanga SC lia lia kama ilivyo kwa kaka yake.

Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka jikoni Yanga SC na hata kwa wana Simba SC walioko ndani ya Klabu ya Prisons zinasema kwamba, tayari biashara ilishamalizika, Prisons FC anakufa nyingi ili kuwafurahisha na kuwafariji wana Yanga SC kwa kipigo cha juzi na Ihefu FC.

Na kwamba ahadi waliyowapa Prisons FC juzi ni mkakati mpya wa kutuzuga wanamichezo ili wajifiche na utamaduni wa kipuuzi ulioshtukiwa wa kuhonga timu (wachezaji) na marefa (waamuzi).

Kaka mtu ameshapenyeza kwa wajelajela Tsh Milioni 25 na mkongwe Asukile Benjamin anajua kila kitu na ndiyo maana hata katika press conference yoo ya juzi muda wote uso wake ulikuwa na aibu, kwani alikuwa anajua kuwa anatudanganya na hata kutufanya majuha (fools) watu (wadau) wa mpira (soka) nchini.

Inawezekana vipi dogo Saalah (mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean) ambaye ni mwana Yanga SC, anapicha nyingi akiwa amevalia jezi mbalimbali za Yanga SC na muda mwingi habanduki kambini Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ya Yanga, huku akimhusudu hakuna mfano mshambuliaji Fiston Mayele leo hii aombee au afurahie Prisons FC aliyoipa ahadi ya kuzuga na ya kinafiki ili iifunge Yanga SC?

Silent Ocean nakuja na uzi wa kuhusu mkakati wenu wa siri ulioratibiwa vyema na ndugu zenu na wakubwa GSM hasa katika mpira wa Tanzania, udhamini wa vilabu vya Ligi Kuu na kuikomoa Simba SC.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
Unayo matatizo makubwa sana wewe ya kisaikolojia sio bure, Mechi ya yanga na Ihefu ulipandisha uzi hapa ya kwamba mayele atafunga hat trick kwakuwa Ihefu ni dhaifu na kwakuwa wanafundishwa na mwambusi baada ya mechi maneno ukayageuza tena ukaja na topic nyingine, Sasa leo unakuja na hadithi nyingine ya kwenye vijiwe vya kahawa na wakishinda prison pia utabadilisha gia angani ueleweki unachokisimamia
 
Halafu jamaa wewe porojo nyingi sana ukikamatwa uka ulizwa evidence unazo?!!!acha porojo mzee unaongea sana kama njiwa mwenye njaa na uwele KUNUNUA mechi KUNUNUA mechi UNAZINGUA nakujiabisha tu
 
Back
Top Bottom