GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,545
- 108,873
Mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean aitwae Saalah ni mdogo wa damu kabisa wa tajiri wa Yanga SC Gharib mwenye GSM yake halafu na dogo Saalah ni mwana Yanga SC lia lia kama ilivyo kwa kaka yake.
Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka jikoni Yanga SC na hata kwa wana Simba SC walioko ndani ya Klabu ya Prisons zinasema kwamba, tayari biashara ilishamalizika, Prisons FC anakufa nyingi ili kuwafurahisha na kuwafariji wana Yanga SC kwa kipigo cha juzi na Ihefu FC.
Na kwamba ahadi waliyowapa Prisons FC juzi ni mkakati mpya wa kutuzuga wanamichezo ili wajifiche na utamaduni wa kipuuzi ulioshtukiwa wa kuhonga timu (wachezaji) na marefa (waamuzi).
Kaka mtu ameshapenyeza kwa wajelajela Tsh Milioni 25 na mkongwe Asukile Benjamin anajua kila kitu na ndiyo maana hata katika press conference yoo ya juzi muda wote uso wake ulikuwa na aibu, kwani alikuwa anajua kuwa anatudanganya na hata kutufanya majuha (fools) watu (wadau) wa mpira (soka) nchini.
Inawezekana vipi dogo Saalah (mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean) ambaye ni mwana Yanga SC, anapicha nyingi akiwa amevalia jezi mbalimbali za Yanga SC na muda mwingi habanduki kambini Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ya Yanga, huku akimhusudu hakuna mfano mshambuliaji Fiston Mayele leo hii aombee au afurahie Prisons FC aliyoipa ahadi ya kuzuga na ya kinafiki ili iifunge Yanga SC?
Silent Ocean nakuja na uzi wa kuhusu mkakati wenu wa siri ulioratibiwa vyema na ndugu zenu na wakubwa GSM hasa katika mpira wa Tanzania, udhamini wa vilabu vya Ligi Kuu na kuikomoa Simba SC.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
Taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka jikoni Yanga SC na hata kwa wana Simba SC walioko ndani ya Klabu ya Prisons zinasema kwamba, tayari biashara ilishamalizika, Prisons FC anakufa nyingi ili kuwafurahisha na kuwafariji wana Yanga SC kwa kipigo cha juzi na Ihefu FC.
Na kwamba ahadi waliyowapa Prisons FC juzi ni mkakati mpya wa kutuzuga wanamichezo ili wajifiche na utamaduni wa kipuuzi ulioshtukiwa wa kuhonga timu (wachezaji) na marefa (waamuzi).
Kaka mtu ameshapenyeza kwa wajelajela Tsh Milioni 25 na mkongwe Asukile Benjamin anajua kila kitu na ndiyo maana hata katika press conference yoo ya juzi muda wote uso wake ulikuwa na aibu, kwani alikuwa anajua kuwa anatudanganya na hata kutufanya majuha (fools) watu (wadau) wa mpira (soka) nchini.
Inawezekana vipi dogo Saalah (mmiliki wa Kampuni ya Silent Ocean) ambaye ni mwana Yanga SC, anapicha nyingi akiwa amevalia jezi mbalimbali za Yanga SC na muda mwingi habanduki kambini Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ya Yanga, huku akimhusudu hakuna mfano mshambuliaji Fiston Mayele leo hii aombee au afurahie Prisons FC aliyoipa ahadi ya kuzuga na ya kinafiki ili iifunge Yanga SC?
Silent Ocean nakuja na uzi wa kuhusu mkakati wenu wa siri ulioratibiwa vyema na ndugu zenu na wakubwa GSM hasa katika mpira wa Tanzania, udhamini wa vilabu vya Ligi Kuu na kuikomoa Simba SC.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!