BOSS na DEREVA laivu....!!!!

Hao nao mafala,mpaka wanashuka kwenye gari?
"
Si wangehamia siti ya nyuma halafu wakamaliza game huko??
"
Au ile ile siti ya mbele,woman on top ingewafaa kabisa tena bila shida . . . . . .Lol!
 
Wanajamvi heshima kwenu...
Basi weekend hii nikiwa kwenye ufukwe mmoja hapa Jijini mida ya saa tatu za usiku nipo nazugazuga ufukweni ikaja gari yenye namba za DFP,ilikuja kwa mwendo mkali sana mpaka nikashtuka,mara akashuka jamaa mmoja mfupi kiasi na kitambi cha kiaina akashuka akacheki pande zote pako kimya watu wapo mbali kidogo.akafungua mlango wa Abira akatoka mwanamke kwa mbali sikuweza kutambua rika lake,alivyoshuka tu akainama kwenye siti yake aliyoshuka akapandisha sketi yake Loooh!! Wakaanza ku-DO jamaa kasimamia kweli si mchezo.

Kama ujuavyo Askari wa Bongo kumbe wamejificha sehemu wanasikilizia tu haikupita muda mrefu hawa hapa alafu wanakamera kabisa!ndo kuanza kupiga picha sasa wale wapenzi wawili jamaa nikaona pale pale kaishiwa na nguvu hata suruali anashindwa kupandisha anaangaika balaa.Polisi wa Kibongo tena wamekukuta laivu!!!

Basi ndo na mimi kusogea pale kusikiliza kinachoendelea.Jamaa anasema yule mama ni Boss wake na wametoka Arusha wamekuja kwenye kikao wamefikia Hotel ipo Sinza huko sasa hapo walikuwa wamezidiwa tu ndo maana wakaamua wamalizane hapo kwanza,kama ujuavyo POLISI hawataki ushahidi wakati wa kuchukua Mlungula basi nikasogezwa mbali kabisa baada ya kama dakika ishirini hivi nikaona BOSS na DEREVA hao wanaondoka polisi wamebaki wakaingia chimbo tena.

Sasa nikawa najiuliza hawa walishindwa kuvumilia kweli mpaka Hotelini au ndo stimu zikishapanda hakuna jinsi?
Naomba mawazo yenu kuhusu hili swala..
inzo ndo adventager meku...kumbukumbu kama hizo hazipotei kichwani mjomba,kama ku du porini,uwanjani,mnasafiri kwenye gari private mnapiga kituo njiani mna banjuka tu.disco kwenye masofa gizani.zote stare
 
Wale polisi ukizoeana nao wanapiga stori na kukutajia wahanga wote waliowahi kuwakamata ambao wana majina yumo Waziri Mmoja tena anewahusu wao mapolisi walimtoa (akiwa waziri wa Habari) wakamtoa laki3 pale pale!
 
Hao nao mafala,mpaka wanashuka kwenye gari?
"
Si wangehamia siti ya nyuma halafu wakamaliza game huko??
"
Au ile ile siti ya mbele,woman on top ingewafaa kabisa tena bila shida . . . . . .Lol!

Siti ya nyuma? yaani wadhani hawa wamwela hawajui? Kajaribu uone......jamaa wako makini sana aseee!
 
Hao nao mafala,mpaka wanashuka kwenye gari?
"
Si wangehamia siti ya nyuma halafu wakamaliza game huko??
"
Au ile ile siti ya mbele,woman on top ingewafaa kabisa tena bila shida . . . . . .Lol!

Hebu hapo ulipo fumba macho yako uvute picha ya mmama wa kibongo anayeitwa boss umuone jinsi alivoshiba afu uniambie kama kuna uwezekano wa kumtafunia kwenye seat yoyote, yeye mwenyewe tu anachukua siti na nusu kwa jinsi alivofungashia uani, NIDO kwa mbele huku inagusa kwenye dashboard! Impossible mazee, lazima ushushe mzigo. Ukitaka mambo ya kwenye siti ya gari uwe na kiportable, unakibinua utakavo humohumo sio hiyo mbaula hakiyanani!!
 
mie siku hizi hadi nayaogopa masemina na ma-training ya nje ya nyumbani.

Wake za watu wanabutuliwa hadi inashangaza, sijajua sababu.

Sababu ni utovu wa nidhamu ulikithiri. Ila siku zao zinahesabika. Wengine wandiriki hata kuvunja ndoa zao kwa upuuzi. Hivi huyu Mungu anaridhia wapumbavu kweli? Mungu wape macho ya rohoni.
 
Wale polisi ukizoeana nao wanapiga stori na kukutajia wahanga wote waliowahi kuwakamata ambao wana majina yumo Waziri Mmoja tena anewahusu wao mapolisi walimtoa (akiwa waziri wa Habari) wakamtoa laki3 pale pale!
Rafiki yangu mmoja Poti aliwahi kumkuta Boss wa ofisi moja hivi ndani ya Range Vogue na kabinti cha chuo IFM tena Gari imepaki mb
ele ya Gate la chuo 'Mwanachuo kainamia Konga',Bosi ikamtoka 350000.
 
Rapherl ...Bado sioni tatizo lipo wapi katika tendo hilo...!

Mkuu yule mama ni mke wa mtu alafu isitoshe anatembea na Dereva wake ambae inawezekana mme wake anamfahamu,au kwanini wasingetafuta hata kagesti tu mpaka imekuja kuwatoka laki mbili na zaidi huko
 
Last edited by a moderator:
Wangesubiria hadi kufika hotelini BOSS angehairisha kamchezo ndio maana wakahamua kumaliza hapo hapo tu.
 
Back
Top Bottom