inzo ndo adventager meku...kumbukumbu kama hizo hazipotei kichwani mjomba,kama ku du porini,uwanjani,mnasafiri kwenye gari private mnapiga kituo njiani mna banjuka tu.disco kwenye masofa gizani.zote stareWanajamvi heshima kwenu...
Basi weekend hii nikiwa kwenye ufukwe mmoja hapa Jijini mida ya saa tatu za usiku nipo nazugazuga ufukweni ikaja gari yenye namba za DFP,ilikuja kwa mwendo mkali sana mpaka nikashtuka,mara akashuka jamaa mmoja mfupi kiasi na kitambi cha kiaina akashuka akacheki pande zote pako kimya watu wapo mbali kidogo.akafungua mlango wa Abira akatoka mwanamke kwa mbali sikuweza kutambua rika lake,alivyoshuka tu akainama kwenye siti yake aliyoshuka akapandisha sketi yake Loooh!! Wakaanza ku-DO jamaa kasimamia kweli si mchezo.
Kama ujuavyo Askari wa Bongo kumbe wamejificha sehemu wanasikilizia tu haikupita muda mrefu hawa hapa alafu wanakamera kabisa!ndo kuanza kupiga picha sasa wale wapenzi wawili jamaa nikaona pale pale kaishiwa na nguvu hata suruali anashindwa kupandisha anaangaika balaa.Polisi wa Kibongo tena wamekukuta laivu!!!
Basi ndo na mimi kusogea pale kusikiliza kinachoendelea.Jamaa anasema yule mama ni Boss wake na wametoka Arusha wamekuja kwenye kikao wamefikia Hotel ipo Sinza huko sasa hapo walikuwa wamezidiwa tu ndo maana wakaamua wamalizane hapo kwanza,kama ujuavyo POLISI hawataki ushahidi wakati wa kuchukua Mlungula basi nikasogezwa mbali kabisa baada ya kama dakika ishirini hivi nikaona BOSS na DEREVA hao wanaondoka polisi wamebaki wakaingia chimbo tena.
Sasa nikawa najiuliza hawa walishindwa kuvumilia kweli mpaka Hotelini au ndo stimu zikishapanda hakuna jinsi?
Naomba mawazo yenu kuhusu hili swala..
Hao nao mafala,mpaka wanashuka kwenye gari?
"
Si wangehamia siti ya nyuma halafu wakamaliza game huko??
"
Au ile ile siti ya mbele,woman on top ingewafaa kabisa tena bila shida . . . . . .Lol!
Hao nao mafala,mpaka wanashuka kwenye gari?
"
Si wangehamia siti ya nyuma halafu wakamaliza game huko??
"
Au ile ile siti ya mbele,woman on top ingewafaa kabisa tena bila shida . . . . . .Lol!
mie siku hizi hadi nayaogopa masemina na ma-training ya nje ya nyumbani.
Wake za watu wanabutuliwa hadi inashangaza, sijajua sababu.
Caroline Danzi...Mke na mme wa mtu! washenzi sana wa tabia! ningekuwa polisi wala sichukui hela ni moja kwa moja kituoni wakaelezee huo uchafu wao hadharani.
Rafiki yangu mmoja Poti aliwahi kumkuta Boss wa ofisi moja hivi ndani ya Range Vogue na kabinti cha chuo IFM tena Gari imepaki mbWale polisi ukizoeana nao wanapiga stori na kukutajia wahanga wote waliowahi kuwakamata ambao wana majina yumo Waziri Mmoja tena anewahusu wao mapolisi walimtoa (akiwa waziri wa Habari) wakamtoa laki3 pale pale!
Rapherl ...Bado sioni tatizo lipo wapi katika tendo hilo...!