Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Kweli wana pepo la ngonoi... mtu unazidiwaje halafu Sinza kunakuwa mbali kutokea huko ufukweni wakati wana gari!wana pepo la ngono wangefanyia hata kwenye gar burudan
Kweli wana pepo la ngonoi... mtu unazidiwaje halafu Sinza kunakuwa mbali kutokea huko ufukweni wakati wana gari!wana pepo la ngono wangefanyia hata kwenye gar burudan
Mke na mme wa mtu! washenzi sana wa tabia! ningekuwa polisi wala sichukui hela ni moja kwa moja kituoni wakaelezee huo uchafu wao hadharani.
Je hujahisi jamaa ni mteja wa kudumu wa huyo changu?
Polisi wa koko nuksi sana mi walishanizingua nikiwa na mama nakula upepo.. Wana njaa sana hawa jamaa
SI WANGEPAKI WAKUNJE SITI TU?......mijitu mingine bana
dah!! tena hizo za quicky in public place zinakuwaga raha sana.....