Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Siti ya nyuma? yaani wadhani hawa wamwela hawajui? Kajaribu uone......jamaa wako makini sana aseee!
Nasikia mamwela wana software kwenye macho wana detect chochote kiovu ndani gari
Siti ya nyuma? yaani wadhani hawa wamwela hawajui? Kajaribu uone......jamaa wako makini sana aseee!
Hahahahah!!Intelijensia
Mkuu yule mama ni mke wa mtu alafu isitoshe anatembea na Dereva wake ambae inawezekana mme wake anamfahamu,au kwanini wasingetafuta hata kagesti tu mpaka imekuja kuwatoka laki mbili na zaidi huko
Hapa kuna ujumbe mzito sanaCaroline Danzi...
Siyo kila mwenye mke anaye mke na wala siyo kila mwenye mme anaye mme...! Mwenye masikio na asikie...!
Mmmh, kumbe fasheni? Mie hadi nilidhani labda ni wagalatia, wamaerogwa.
Na yule dereve ni mme wa mtu (right?)... Unaposema "wasingetafuta kagesti" inamaanisha unahalalisha "dhambi" au kuna tofauti gani kati ya "kumvua chupi mke wa mtu" kwenye "kagesti" au "ufukweni"?