maishakujipanga
Senior Member
- Feb 13, 2017
- 115
- 118
Naombeni msaada wa kisheria.
Nimeajiriwa kampuni moja private. Baada ya kufanya kazi muda mrefu bila kupewa mkataba, sasa juzi nikaletewa mkataba lakini sikuuelewa kwa sababu upo tofauti na uhalisia.
Mfano: Kabla ya mkataba nilikuwa nalipwa laki nne cash yote bila makato yoyote. Ila baada ya mkataba unaonesha nalipwa laki 2 na nusu basic salary. Na hiyo 2.5 ndo makato yote ya serikarl yanakatwa hapo.
Nilipoongea na bosi akasema nisign hiyo ya kwenye mkataba then pesa nyingine laki 1.5 nitakuwa napewa pembeni.
Je, hii ni sahii au sio sahihi?
Bado nipo njiapanda nikubali kusign au nikatae kusign.
Nimeajiriwa kampuni moja private. Baada ya kufanya kazi muda mrefu bila kupewa mkataba, sasa juzi nikaletewa mkataba lakini sikuuelewa kwa sababu upo tofauti na uhalisia.
Mfano: Kabla ya mkataba nilikuwa nalipwa laki nne cash yote bila makato yoyote. Ila baada ya mkataba unaonesha nalipwa laki 2 na nusu basic salary. Na hiyo 2.5 ndo makato yote ya serikarl yanakatwa hapo.
Nilipoongea na bosi akasema nisign hiyo ya kwenye mkataba then pesa nyingine laki 1.5 nitakuwa napewa pembeni.
Je, hii ni sahii au sio sahihi?
Bado nipo njiapanda nikubali kusign au nikatae kusign.