Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,952
maboss wote tupo tunajinusa kinywa now maana[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]communication ni lazimi ili kazi ziende...sasa kama boss anatoa maelekezo kwa mdomo unafkr ndugu yetu hapa atayazingatia?...maana atakua tu anawaza anamaliza sa ngapi kuongea asepe....sijaelewa kitu kimoja kwani kazi unayoifanya kwake ni ya kukunong'oneza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nunua laini mpya ya simu na Nokia mpya ya tochi mpe mtu ampigie amwambie..kisha simu dondosha kny choo cha shimo.
Sababu ulizo zitaja zinaongeza uzito.Come again.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aseeMwambie aweke mkoni wako karibu na kinywa kisha afanye kama anatoa hewa kupitia kinywan atajua tu ananuka balaa
Yap.Sababu ulizo zitaja zinaongeza uzito.
Hivyo ilikuwa tu kusema Kuongezeka uzito kupita kiasi (over weight) ndio sababu kuu inayo sababisha diabetes 2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akikuongelesha ziba pua
Kabisa mradi message sent[emoji23][emoji23][emoji23]ama kama wana suggestion box atupie humo
Hujawahi muona mtu ni mwembamba na ana kisukari?Yap.
Extra fat inaongeza insulin resistance na inapelekea type 2 diabetes. Moja ya effects za diabetic ni kunuka mdomo, something about the sugars not being broken down properly I remember reading somewhere.
Type 2 Diabetes: How to Lose Weight
Kiti moto na bia ukipata kwa sana ujue madhara ndiyo hayo.
Kama ngono zembe ni njia moja ya kupata UKIMWI, hilo halina maana kuchangia nyembe hakuleti maambukizi ya UKIMWI.Hujawahi muona mtu ni mwembamba na ana kisukari?
Mimi napendaga tu hilo guu kwa avatarTuachane na boss wako, tuseme tu wanaume hawajali vinywa vyao.
Unaweza kukutana na mkaka mzuriiiiii lakini eti ananuka mdomo?
Udhaifu wangu kwa mwanaume ni usafii pesa baadae.
hahahahahahahahaha haya mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]communication ni lazimi ili kazi ziende...sasa kama boss anatoa maelekezo kwa mdomo unafkr ndugu yetu hapa atayazingatia?...maana atakua tu anawaza anamaliza sa ngapi kuongea asepe....