Labda anatumia dawa za magonjwa fulani fulani pia mfano ARV,ana maambukizi katika kinywa chake,au organs za matumbo.Kuna kunuka mdomo kunakosababishwa na Kisukari.
Inawezekana kuna ongezeko la Kisukari kutokana na lifestyle changes, watu kunywa pombe na kula nyama sana, kutofanya mazoezi, kuongezeka uzito etc.
Ajue kwanza birthday ya boss wake. Hiyo zawadi itamfaa sanaMnunulie zawadi ya mswaki na Colgate
Pole mkuu, hata nyinyi humu JF wapo wanaonuka midomo nadhani. Siyo hiyo tu hata vikwapa.
Midomo kunuka inabidi kupiga mswaki kila unapomaliza chakula iwe asubuhi, mchana na jioni. Mswaki si meno bali gums na hasa ulimi maana ndo unabeba uchafu mwingi. Vikwapa ni kununua Deodorants kama huwezi basi tumia limau au hakikisha huna nywele kwenye vikwapa na utumie sabuni inayonukia. Mimi siyo daktari ila ni uzoefu wangu tu.
Hivi vijiwe Huwa vinaharufu kali ajabu aseh alafu ni kama Huwa vinatoka vyenyewe tu vikifika size flani
Huo ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine. Hauhusiani na upigaji wa mswaki
Uhusiano wenu ukoje na huyo boss wako mbali ya u-boss? Inawezekana hajijui kwamba ana tatizo hilo!Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Na ndio husababisha kunuka mdomo.Hivi vijiwe Huwa vinaharufu kali ajabu aseh alafu ni kama Huwa vinatoka vyenyewe tu vikifika size flani
Mwambie aweke mkoni wako karibu na kinywa kisha afanye kama anatoa hewa kupitia kinywan atajua tu ananuka balaaUgonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Sio tatzo kupiga mswaki tu tatzo halafu inatoka tumbon kwani kuna baadhi ya watu hunywa kiasi kidogo cha maji hata kama atapiga mswak atakuwa ananuka tuPole mkuu, hata nyinyi humu JF wapo wanaonuka midomo nadhani. Siyo hiyo tu hata vikwapa.
Midomo kunuka inabidi kupiga mswaki kila unapomaliza chakula iwe asubuhi, mchana na jioni. Mswaki si meno bali gums na hasa ulimi maana ndo unabeba uchafu mwingi. Vikwapa ni kununua Deodorants kama huwezi basi tumia limau au hakikisha huna nywele kwenye vikwapa na utumie sabuni inayonukia. Mimi siyo daktari ila ni uzoefu wangu tu.
Mnafanya kazi mkiwa umbali gani? Maana unaacha maswali especially kama wewe ni KE na bosi ni MEUgonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.