Bosi wangu ananuka mdomo, nifanyeje?

Bosi wangu ananuka mdomo, nifanyeje?

Upumbavu umechukua nafasi hapa JF, najua utakuja sema me pia nanuka mdomo. Ila huu ni upumbavu
 
Atumie hydrogen peroxide (mouth wash) kwa mda wa wiki moja, tatizo likizidi muone daktari
 
sawaaa "" lakini " kwaa taarifa yko tu " nikwamba" boss wako " ni member"" wa Jf "" na tayari "" ameshaisoma hii thread "",so jiandae kwa kifuatacho ITV

Lakini hajijui kama ananuka mdomo, labda mabosi wote Tanzania wanaoisoma JF sasa hivi wajiangalie midomo yao.
 
Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.

Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.

Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.

Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.

Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Nunua dawa inaitwa hydrogen peroxide mpe awe anasukutulia wala mbili kila siku kwa muda wa siku 14 alaf mpe colget apo utakua umemtibu tatizo we nunua mwambie bos hi zawad yako mfungashie na maelezo ya kutumia ndani yake usimwelekeze mbele za watu. TUNASUBIRI MREJESHO
 
Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.

Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.

Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.

Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.

Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Mnunulie big G ile p.k kila ukifika mpe kama zawadi ataelewa tatizo lake
 
Nunua dawa inaitwa hydrogen peroxide mpe awe anasukutulia wala mbili kila siku kwa muda wa siku 14 alaf mpe colget apo utakua umemtibu tatizo we nunua mwambie bos hi zawad yako mfungashie na maelezo ya kutumia ndani yake usimwelekeze mbele za watu. TUNASUBIRI MREJESHO
Mkuu hii kwa kwenye maduka inaitwaje hii hydrogen peroxide? Unamaanisha kwa jina la biashara maana nakumbuka chemistry yangu ya form two H2O2 ndio hydrogen peroxide
 
Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.

Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.

Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.

Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.

Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.

Huo ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine. Hauhusiani na upigaji wa mswaki
 
Mkuu hii kwa kwenye maduka inaitwaje hii hydrogen peroxide? Unamaanisha kwa jina la biashara maana nakumbuka chemistry yangu ya form two H2O2 ndio hydrogen peroxide
Jina hilo hilo nenda phamancy tu waambie nataka hydrogen peroxide
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom