consigliare
Member
- Feb 8, 2018
- 38
- 49
Na wewe nuka mdomo zaidi..boss kaonesha mfano
Hilo la flossing nimeliwaza few minutes ago wakati nipo dinner. Meno yangu yalikuwa tight na niliacha floss nyumbani sababu huku nilipo huwezi kufanya hivyo kwenye restaurant. Nimefika tu nyumbani naidaka. Je ndugu zetu wanajua kuwa unaweza kuwa unatembea hata na katani kama huna uzi wa kupitisha kwenye meno? mradi viwe sterilised ni msaada mkubwa kuliko vijiti tunavyopewa.ongezea na kufanya flossing kila siku na pia kutumia dawa za kusukutua kama medi oral kama mara mbili kwa week,usitumie kila siku kuna bacteria utakua unawaua ambao wana manufaa mdomoni
Sio kweli kuwa yule anayenuka mdomo hafanyi yote haya.Midomo kunuka inabidi kupiga mswaki kila unapomaliza chakula iwe asubuhi, mchana na jioni.
Ana tatizo la constipation, kwa hio ale sana mboga mboga pamoj a na matunda, ikiwezekana kabla ya kula kitu chochote asubuhi anywe juice ya chungwa, pia apendelee kunywa juice hii au ale machungwa.Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwanini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwenye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Hata wewe si ajabu nawe unanuka mdomo ili tu hujijui,ngoja wenzako nao waje wakuambie kuwa unanuka mdomo,ila usije rusha ngumi.Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwanini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwenye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Tuachane na boss wako, tuseme tu wanaume hawajali vinywa vyao.
Unaweza kukutana na mkaka mzuriiiiii lakini eti ananuka mdomo?
Udhaifu wangu kwa mwanaume ni usafii pesa baadae.
Hahah@popcornFanya kitu kimoja. Nunua gums mpelekee...mwambie awe anatafuna mara kwa mara ni nzuri. Wewe huwa unazitumia unazipenda.
Usimwambie khs kunuka mdomo atajiongeza tu mwenyewe na kila mkiwa nae uwe unatafuna (ila sio kwa sauti kama unakaanga popcorn).
Unajuaje kuwa wewe hunuki mdomoni?Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwanini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwenye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Hakuna binadamu asiyenuka mdomo....ila viwango vinatofautiana....Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwanini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwenye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Hii ni kiboko yao mkuu......imenisaidia sanaAtumie hydrogen peroxide (mouth wash) kwa mda wa wiki moja, tatizo likizidi muone daktari
Mtumie clip znazohusu usafi wa kinywaUgonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwanini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwenye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.