Bosi wangu ananuka mdomo, nifanyeje?

Bosi wangu ananuka mdomo, nifanyeje?

Luckyline hapa hujasaidia kutatua tatizo bali kuwananga wanaume uliokutana nao. Kwa taarifa yako mbunye za wanawake 95% zinanuka ni basi tu wanaume wanavumilia. Tena kuna wengine wakivua pants tu harufu inaanza kupanda. Hili halijalishi kama mwanamke ni mzuri/msafi kwa nje.
Wapige mswaki na wanunue dawa za kusukutua zipo duka za dawa.
 
Wapige mswaki na wanunue dawa za kusukutua zipo duka za dawa.

Wapige mswaki hizo mbunye ama? Ni kweli kuna watu hawapigi mswaki vizuri hasa kusugua ulimi. Lakini ukipitia michango ya wajuzi, wengine sio kutokupiga mswaki tu kuna sababu nyingine za ziada.
 
Huwa napataga shida sana kuzungumza na hawo watu wanaotoa harufu mbaya,chanzo kikubwa si kwamba ni ugonjwa,wengi hawapigi miswaki asubuhi badala yake hukimbilia kufakamia vyakula na wao huwa hawajiskii na hiyo hali,mimi nilivyoumbwa huwa nikiwanazungumza na watu wa hivyo huwa nashindwa hata kumeza mate badala yake najikuta natema mate hovyo,kibaya kuna mpaka mabinti wengine wazuri tuu ila wanatoa harufu mbaya,huwa inaniuma sana.
 
Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.

Sijajua watu wanaugua hivi kwanini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.

Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.

Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwenye daladala.

Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Kaa mbali na mdomo wake.
 
Kwani constipation ina affect vipi kinywa? Mimi nadhani labda wakati wa kucheua. Labda wewe ni Dr. unaweza kutusaidia kutueleza hili.
Constipation inasababisha "namna gani vipi" ichelewe kuwa ejected kule chini. So wajua ikichelewa it means unakuwa umebeba uchafu tumboni.

Thereafter, harufu husafiri kupitia pipe ya utumbo na kurudi kwenye koromeo kama hewa kali sana ya choo.....

Lakini pia halitosis huwa ni bakteria wanaojitengeneza katika kinywa especially eneo la tezi za mate kooni kutokana na uwiano usio sawa (wa kuzidi) tindi kali katika mwili wako kutokana kula vyakula vinavyochochea uzalishaji wa tindi kali mwilini. Hivyo hawa bakteria hujilisha katika eneo hilo na kutengeneza uozo au by product ya harufu kali sana kupita maelezo.

Ukitaka kujua balaa la halitosis, jaribu kunusa vile vimabaki kama punje ya mchele (tonsils stones) ambavyo ukijikohoza kwa nguvu huwa vinatoka, thats the smell of halitosis
 
Nikumshitaki kwa mzee wa sauti ya viraka vya bendera ili atumbuliwe
 
Constipation inasababisha "namna gani vipi" ichelewe kuwa ejected kule chini. So wajua ikichelewa it means unakuwa umebeba uchafu tumboni.

Thereafter, harufu husafiri kupitia pipe ya utumbo na kurudi kwenye koromeo kama hewa kali sana ya choo.....

Lakini pia halitosis huwa ni bakteria wanaojitengeneza katika kinywa especially eneo la tezi za mate kooni kutokana na uwiano usio sawa (wa kuzidi) tindi kali katika mwili wako kutokana kula vyakula vinavyochochea uzalishaji wa tindi kali mwilini. Hivyo hawa bakteria hujilisha katika eneo hilo na kutengeneza uozo au by product ya harufu kali sana kupita maelezo.

Ukitaka kujua balaa la halitosis, jaribu kunusa vile vimabaki kama punje ya mchele (tonsils stones) ambavyo ukijikohoza kwa nguvu huwa vinatoka, thats the smell of halitosis
I wish watu wamefuatilia hii mada labda wengi wataelimika. Kuna na mchangiaji mwingine amenipa somo jingine ni Mwl RTC member wa JF.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom