Adamjuma94
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,292
- 4,752
Mwambie mke wake
Kuna rafiki yangu alikuwa na hilo tatizo. Sasa ile hali watu hawaipendi hasa akiwainamia ili kuelekezana jambo na kumwambia ikiwa ngumu sana. Nikafuatwa niongee nae. Nilishindwa kumchana live ikabidi niende nae pharmacy nikanunua PK nae nikampa moja. Nikamwambia tumiaga hizi ni nzuri kwenye kukupa confidence. Sasa sijui kama alielewa dhumuni husika.Hivi mnafikiri ni rahisi kumwambia mtu ananuka mdomo?Labda muwe mmeshibana sana.
Mnunulie dawa km forever mpatie mwambie umepew zawadi nyingi hizo ukaona umgawie na yeye.Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Tena wakorofi mno tena mno. Ila tatizo ni uchafu wa meno, akienda kusafisha anapona kabisa. Labda jifanye ulienda kusafisha meno, then mwambie faida yake umshauri aende.Ugonjwa wa kunuka mdomo unaongezeka, ukitaka kuthibitisha chunguza ndani ya daladala au mwendokasi, na hata wakati mwingine makanisani.
Sijajua watu wanaugua hivi kwa nini lakini nijuacho ni kwamba hakuna watu wakorofi kama wanaonuka mdomo hasa ukiwaambia wananuka mdomo.
Sasa ugonjwa huu umeanza kuvamia na maofisini. Bosi wangu ananuka mdomo, sijui ni kwa sababu hapigi mswaki au ana matatizo ya kiafya.
Nimesema walivyo wakorofi wanaonuka mdomo. Sasa kama bosi ukimwambia kuwa ananuka mdomo, basi ndiyo kabisa, afadhali na wale wa kwneye daladala.
Nisaidieni jinsi ya kumfanya bosi wangu ajijua kuwa ananuka mdomo, maana inanikera.
Hilo nalo somo jipya umenipa nilikuwa sijui. Mbona hatujawataja wala ugoro na wavutaji wa sigara? Siku hizi nasikia vijana wengi wanakula ugoro hivi kweli?Sio tatzo kupiga mswaki tu tatzo halafu inatoka tumbon kwani kuna baadhi ya watu hunywa kiasi kidogo cha maji hata kama atapiga mswak atakuwa ananuka tu
Watu wengi huswaki juujuu tu...Hivi vijiwe Huwa vinaharufu kali ajabu aseh alafu ni kama Huwa vinatoka vyenyewe tu vikifika size flani
Me napiga mswaki asubuhi kwa asubuhi lakini sinuki mdomo. Nini sababu?..Midomo kunuka inabidi kupiga mswaki kila unapomaliza chakula iwe asubuhi, mchana na jioni. Mswaki si meno bali gums na hasa ulimi maana ndo unabeba uchafu mwingi. Vikwapa ni kununua Deodorants kama huwezi basi tumia limau au hakikisha huna nywele kwenye vikwapa na utumie sabuni inayonukia. Mimi siyo daktari ila ni uzoefu wangu tu.
ugoro ndio umekuwa mbadala wa virobaHilo nalo somo jipya umenipa nilikuwa sijui. Mbona hatujawataja wala ugoro na wavutaji wa sigara? Siku hizi nasikia vijana wengi wanakula ugoro hivi kweli?
Ha ha ha wewe umenichekesha. Kuna watu tangu wazaliwe wanatumia mkaa tu na hawanuki. Vyakula unavyokula na lifestyle yako ni nzuri ila namfahamu mtu hanywi pombe anakula organic food na ni mtu asiye na makuu, hana kisukari kama mchangiaji mmoja alivyosema lakini akifunua mdomo kuongea, unaangalia pembeni.Me napiga mswaki asubuhi kwa asubuhi lakini sinuki mdomo. Nini sababu?..
Nikioga asubuhi mpaka napolala na bado mchana hata iweje siwezi nuka jasho ingawa naweza toka maji/jasho, ni tatizo pia!?..
Kuna magonjwa kama constipation na halitosis....Pole mkuu, hata nyinyi humu JF wapo wanaonuka midomo nadhani. Siyo hiyo tu hata vikwapa.
Midomo kunuka inabidi kupiga mswaki kila unapomaliza chakula iwe asubuhi, mchana na jioni. Mswaki si meno bali gums na hasa ulimi maana ndo unabeba uchafu mwingi. Vikwapa ni kununua Deodorants kama huwezi basi tumia limau au hakikisha huna nywele kwenye vikwapa na utumie sabuni inayonukia. Mimi siyo daktari ila ni uzoefu wangu tu.