Bosi wangu ananuka mdomo, nifanyeje?

Bosi wangu ananuka mdomo, nifanyeje?

Mshauri awe anatumia kijiko kimoja cha asali kula asubuhi
 
Unataka kuotesha kibarua chako nyasi..sasa ww hyo harufu inakuzuia nn kufanya mambo yako.ukimwambia jua kabsa na kazi huna
 
Unataka kuotesha kibarua chako nyasi..sasa ww hyo harufu inakuzuia nn kufanya mambo yako.ukimwambia jua kabsa na kazi huna

Aisee inaathiri ingwa haizuii na nimepata ushauri mwingi kwa kuanzisha hii thread.
 
Sio kweli kuwa yule anayenuka mdomo hafanyi yote haya.

Kuna mambo mengi yanayochangia hili tatizo.
Pitia hii thread, kuna mengi yakujifunza kuhusu hili tatizo.
Nimeisoma vizuri na English version yake. Tunarudi kule kule kwamba usipotoa mabaki ya vyakula kwenye mdomo, unazalisha bacteria ambazo ndo chanzo cha mdomo kunuka. Protein foods ndizo hasa mbaya ndo maana ukienda kwenye National parks, Simba wanapotoa miayo harufu yao mbaya saana. (kwa wale ambao wamewaona wamelala).
 
Tunarudi kule kule kwamba usipotoa mabaki ya vyakula kwenye mdomo, unazalisha bacteria ambazo ndo chanzo cha mdomo kunuka.
Ni hivi
- Sio mabaki ya chakua pekee husababisha harufu kutoka kinywani,

- Chukulia huyu mtu aliyetoka kula, akapiga mswaki na akatumia pia medi oral kwa kusukutua, lakini baada ya dakika tano hadi 10 tatizo la kunuka kinywa liko pale pale. Je mtu kama huyu utamsahuri nini???

- Ni kwenda hospitali apatiwe tiba sahihi

- Sababu

- Kuna vyanzo vingi vingine kwa tatizo la kinywa kunuka mfano tatizo Kooni, tumboni au magonwa - Mtu kama huyu hata apige mswaki marakumi kwa siku bado harufu itatoka tu. HIKI NDICHO NAMAANISHA, hivyo ni makosa kukariri kuwa kupiga mswaki ndio ufumbuzi, lahasha.
upload_2018-7-22_11-21-46.png

 
Kwa majibu haya ya hovyo yanayotolewaaa?
Ndiyo tatizo la JF yaani ukileta shida yako mpaka inafika reply ya 50 unaambulia mizaha tuu, one reason could be kuna watoto wengi humu nowadays....
 
Huenda nae huyo bosi wako anasikia na wewe unanuka mdomo,sema anashindwa jinsi ya kukwambia anaogopa atakukera,
 
Mwambie apunguze kupiga mswaki sana, maana kadri unavyozidi kupiga mswaki kwa kutumia dawa za meno ndivyo unavyozidi kunuka mdomo.
Kunuka mdomo pia ni dalilili nzuri kuwa mdomo wa huyo jamaa una wadudu wengi wanaozalisha vitamini B12 ambayo ni vitamini muhimu mwilini.
Ili usinuke mdomo afanye hivi:
Asitumie dawa za meno zilizotengenezwa kiwandani, bali atumie aloevera ile ya porini isiyo chungu. Apige msaki angalau mara mbili au tatu kwa wiki.
Kila anapoamka asubuhi asukutue kwa kidole kinywa chake afu ule "uchafu" aumeze hiyo ni dozi tosha kwa siku ya vitamini B12
Akifanya hivyo kwa miezi miwili, shida yote inaondoka
 
Hiyo ofisi mnafanya kazi kweli? Kwa nini mnaendekeza kulana denda mkuu? Punguzeni hayo mambo aiseee!!
 
Mke wa huyo bosi inabidi kukabiliana na huo mdomo kila usiku wa manane,na huende anaunyonya vizuri,hii dunia ni kuvumiliana sasa wewe hapo ofisini tu unaanza kulia lia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom