Saudi mbali sanaaaaa
Nenda Kariakoo hapa, wanaruhusu mwanamke apite na nguo inaonyesha maungo?
Kwa hiyo sisi tamaduni zetu ni super intolerant, super conservative, hatuvumilii haki za mavazi ya wengine halafu tunaenda kwa wenzetu tunataka kuwaamulia tuvae nini... rudini kwenye ma nchi yenu mkavae mnavyotaka kama mavazi ya kitamaduni au kidini ni muhimu kihivyo...
Tunatakiwa tuheshimu tamaduni na dini za wengine, I agree wholeheartedly.
Lakini pia elewa Uingereza na Magharibi kwa ujumla wana utamaduni deep and long wa kuwa huru kusema. Yesu Kristu Mungu naa Mungu wake na Roho Mtakatifu wanatukanwa na kupingwa na hao hao wazungu. Sembuse mavazi. Huo ni utamaduni wao. Wamepigana karne na karne kuwa huru ili waweze ku chalenjiana wakati wa kutafuta maendeleo, na wamepiga maendeleo.
Huku third world ndio bado hakuna uhuru wa kusema, sasa tusipeleke hayo ma tamaduni yetu kwa wenzetu. Hutaki Hijabu yako isemwe vibaya kaa kwenu Saudia, kaa kwenye Sumbawanga.
Ningependa Malcom Lumumba na chige waione respond hii yako.okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.
tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.
hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka
in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.
kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...
facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...
Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Mkuu Consigliere hichi ndicho kizazi cha wasomi wa Tanzania na viongozi wa kesho.Ningependa Malcom Lumumba na chige waione respond hii yako.
This guy for sure, lol
Wanasemaga jambo usilokua na elimu nalo usiliongelee.okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.
tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.
hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka
in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.
kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...
facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...
Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
HajakoseaAmesema wakishavaa hijab wana kuwa kama masanduku ya kupostia barua au wezi wa benki
Sikuelewi hata.....Saudi mbali sanaaaaa
Nenda Kariakoo hapa, wanaruhusu mwanamke apite na nguo inaonyesha maungo?
Kwa hiyo sisi tamaduni zetu ni super intolerant, super conservative, hatuvumilii haki za mavazi ya wengine halafu tunaenda kwa wenzetu tunataka kuwaamulia tuvae nini... rudini kwenye ma nchi yenu mkavae mnavyotaka kama mavazi ya kitamaduni au kidini ni muhimu kihivyo...
Tunatakiwa tuheshimu tamaduni na dini za wengine, I agree wholeheartedly.
Lakini pia elewa Uingereza na Magharibi kwa ujumla wana utamaduni deep and long wa kuwa huru kusema. Yesu Kristu Mungu naa Mungu wake na Roho Mtakatifu wanatukanwa na kupingwa na hao hao wazungu. Sembuse mavazi. Huo ni utamaduni wao. Wamepigana karne na karne kuwa huru ili waweze ku chalenjiana wakati wa kutafuta maendeleo, na wamepiga maendeleo.
Huku third world ndio bado hakuna uhuru wa kusema, sasa tusipeleke hayo ma tamaduni yetu kwa wenzetu. Hutaki Hijabu yako isemwe vibaya kaa kwenu Saudia, kaa kwenye Sumbawanga.
Wewe ni mwerevu.Hata ukiwaambia wamaasai wakivaa mashuka wanafanana na miti ni kashfa.
sijui kwanini umekaza kichwa kwenye hili.
hakuna maelezo sijui imepanda imeshuka ikaandikwa kwa biblia sijui kwa Quran.
Tunatakiwa kuheshimu tamaduni ila tuwe tayari kuzibadili kwa uweledi pale zinapoonekana sio nzuri.
Mkuu ...Ajabu zaidi, ni kama anataka kutuambia kwamba hata media kama BBC na zenyewe zimeandika uongo kuhusu kauli ya Boris!
Mkuu umekuwa unatumia humu neno "utamaduni" ila sielewi huo utamaduni unaouzungumzia ni upi?okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.
tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.
hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka
in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.
kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...
facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...
Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Kwahiyo hayo mavazi wanayovaa wanawake wa kiislamu ni kinyume na tamaduni za waingereza? hebu tuambie huo utamaduni wa waingereza ni upi ambao ndio ni kinyume na mavazi ya wanawake wa kiislamu?And BTW Kwanini waislam ulazimisha tamaduni zao kufuatwa hata kwenye nchi zisizo za kiislam /kidini ilhali wanaokwenda kwao uheshimu mila na desturi za huko?