Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,292
Huyu huwa namfananisha na Prince Philip kwa kuropoka
Ingawa Philip kajichokea sasa hata neno halimtoki tena
Ingawa Philip kajichokea sasa hata neno halimtoki tena
Soma surat al-Ahzaab na surat an-Noor utaona bali kuna hadithi nyingi za mtume amani iwe juu yake amezungumzia hujabu.
Inaonekan hata Uislamu huujui na Qur'an huisomi mnaokoteza maneno ya vijiweni na mitandaoni kisha mnapayuka kwa sauti ya punda na hakuna sauti mbaya kuliko sauti ya punda.Weka hapa hizo nukuu za msahafu za Al Ahzaab na An Noor.
Kuhusu hadithi za mitume, well, hadithi wanazuoni hawazipi sana hadhi kuliko hadithi za sungura na kama Young Killer alivyosema hadithi za sungura mi sitaki eeeh, niletee hadithi za wajuba wenye chura wa Masaki, na ukisikia nauza sura juu ya laki maana uhai ni faidi ikiwa hasara ni nafsi.
I like your response to this kind of questionAmesema wakishavaa hijab wana kuwa kama masanduku ya kupostia barua au wezi wa benki
I
...sidhani Kama wewe unaijua vizuri uingereza kuliko consevertive wenyewe wanaotaka kumwajibisha kwa kukiuka misingi na miongozo yao ya Uhuru na haki ya kila raia wa nchi hiyo inayowaongoza.....
.
Sasa kama si kashfa kwanini anatakiwa aombe msamaha hadharani?
Nice reply!okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.
tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.
hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka
in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.
kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...
facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...
Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Kuna wakati Prince Phillip alikwenda China na Queen kwenye official visit. Jioni waliandaliwa diinner na balozi wa Uingereza. Wakiwemo Waingereza wanaoishi China. Prince aliwaambie “ mkikaa sana huku macho yenu yatakuwa madogo “. Kesho yake ilikuwa habari kwenye magazeti.Huyu huwa namfananisha na Prince Philip kwa kuropoka
Ingawa Philip kajichokea sasa hata neno halimtoki tena
True that..actuallly hata hao wanajidai kumtaka Boris aombe msamaha moyoni wanawaza kingine. Wazungu huwaambii kitu kwa tamaduni zao, ndio maana Germany,Netherlands na kwingineko wala hawafichi..kwao koleo ni koleo na kijiko ni kijiko.. Ukitaka kuishi kwetu fuata tamaduni zetu au la rudi kwenuI like people who speak think and speak free,binadamu wengi tumejaa unafiki tu,I just don't know why?
Wazungu wengi hawapendi tamaduni za kiislamu but akitokea mmoja kuelezee yanayomkera juu ya utamaduni huo basi atashambuliwa hata na wale wanaouchukia utamaduni huo. UNAFIKI.
Kuna wakati Prince Phillip alikwenda China na Queen kwenye official visit. Jioni waliandaliwa diinner na balozi wa Uingereza. Wakiwemo Waingereza wanaoishi China. Prince aliwaambie “ mkikaa sana huku macho yenu yatakuwa madogo “. Kesho yake ilikuwa habari kwenye magazeti.
Boris is an arrogant man, a typical Etonian lakini hili kitamgharimu. Sadick Khan inaelejea anapitia vikwazo vingi vya kisiasa na invisible racial injustice.Huyu mzee nilikuwa namfuatilia sana kwa vituko vyake
Alienda Papua New guinea alipotumbizwa anakaropoka tena "mmeacha kula watu"
Lakini boris Johnson nae anakashfa sana sio mara yake ya kwanza hii nae atazee vibaya
Ni mwandishi lakini ni mwanasiasa pia
Anajua aliemrithi kazi yake ni muislam
Au ni jibu kwa Labour alietukana wayahudi?
Umezungumzia point moja muhimu sana. Unapohamia nchi ngeni basi ni juu yako wewe mhamiaji kuje-adapt na mila na desturi za nchi uliyohamia. Hawa watu wanapiga kelele tu kwa sababu wamekutana na wazungu ambao ni wastaarabu na wanapenda kila mtu awe huru. Hebu tujiulize: Mwanamke wa Western Europe anaweza kutembea mitaa ya Saudia Arabia huku amevaa kimini na wakamwacha bila bughudha kwa ajili ya kuheshimu tamaduni ya nchi nyingine? Kama siyo basi ni kwa nini upande mmoja unang'ang'aniza mavazi yao yaheshimiwe lakini hawako tayari kuheshimu mavazi ya wenzao.hahahahaaaaa.....
vyakula vya Caribbean na Curry ya Wahindi?
ugali wa udaga na supu ya makongolo ya mbuzi vipo kwenye menu za mashuleni Uingereza?
kama hakuna basi wameingilia imani na jadi yangu ya mavyakula ya kibantu!
Na nyingi kwenu Tanzania kwenye ma canteen ya shule na hospitali sijui kuna steamed beef bourguignon and cumberland apple pie? Ili tusiingilie jadi na imani ya Muingereza?
the long and short of it is, huwezi kufurahisha kila mja katika nchi yako kwa kumridhisha na alichokizoea akiwa kwao. Yeye ndio kakufuata, hataki tamaduni zako arudi atokako!
Eti hospitali za Uingereza zinagawa Caribean food and Indian Curry, kwanza mapilipili ya Kijamaika na Kihindi yataingilia mild food requirement ya chakula cha mgonjwa!
Niliwahi kusikiliza debate kati ya wanafunzi wa Oxford na Cambridge katka swala hili. Kuna binti wa kiarabu alikuwa upande wa Cambridge alijibu kuwa Western culture ina expoit wanawake, ili kuuza bidhaa zao wanaona fahari kupamba picha za wanawake wamevaa high heels, bikini na lipstick. Hata enzi za kale wanawake wa West walijistiri.Umezungumzia point moja muhimu sana. Unapohamia nchi ngeni basi ni juu yako wewe mhamiaji kuje-adapt na mila na desturi za nchi uliyohamia. Hawa watu wanapiga kelele tu kwa sababu wamekutana na wazungu ambao ni wastaarabu na wanapenda kila mtu awe huru. Hebu tujiulize: Mwanamke wa Western Europe anaweza kutembea mitaa ya Saudia Arabia huku amevaa kimini na wakamwacha bila bughudha kwa ajili ya kuheshimu tamaduni ya nchi nyingine? Kama siyo basi ni kwa nini upande mmoja unang'ang'aniza mavazi yao yaheshimiwe lakini hawako tayari kuheshimu mavazi ya wenzao.
Thank youBoris is an arrogant man, a typical Etonian lakini hili kitamgharimu. Sadick Khan inaelejea anapitia vikwazo vingi vya kisiasa na invisible racial injustice.
unaandika kwa mapana kama unajua vile..quran haijaweka uvaaji kwa muislam?..una uhakika au umeona sehemu makala umebeba hivyohivyoImani gani, ya kipagani?
Quran Takatifu haijasema popote wanawake wavae hijab, niqab wala burka
In fact, Quran Takatifu haijasema lolote kuhusu uvaaji wa muislam wa namna yeyote.
Unaweza kuvaa ki-mini na ukawa hujavunja matakwa ya Quran Takatifu.
Kwa hiyo let us not conflate imani na utamaduni
Utamaduni wa Muingereza haukubaliani na kumfunika mwanamke gubigubi. Kwa wao, burka wanaliona kwa waporaji mabenki.
MAJORITY RULE MINORITY RIGHT. IDADI YA WABANTU NA NA HAO WAHINDI IPOJE HUKO MASHULENI UINGEREZA NA HUKU TANZANIAhahahahaaaaa.....
vyakula vya Caribbean na Curry ya Wahindi?
ugali wa udaga na supu ya makongolo ya mbuzi vipo kwenye menu za mashuleni Uingereza?
kama hakuna basi wameingilia imani na jadi yangu ya mavyakula ya kibantu!
Na nyingi kwenu Tanzania kwenye ma canteen ya shule na hospitali sijui kuna steamed beef bourguignon and cumberland apple pie? Ili tusiingilie jadi na imani ya Muingereza?
the long and short of it is, huwezi kufurahisha kila mja katika nchi yako kwa kumridhisha na alichokizoea akiwa kwao. Yeye ndio kakufuata, hataki tamaduni zako arudi atokako!
Eti hospitali za Uingereza zinagawa Caribean food and Indian Curry, kwanza mapilipili ya Kijamaika na Kihindi yataingilia mild food requirement ya chakula cha mgonjwa!
Halafu kesho unakuja kusema Dada zetu wananyanyaswa uarabuni je kama huo ndio uatamaduni wao kunyanyasa weusiUnakuja nyumbani kwangu alafu unalazimisha utamaduni wako?
Hata mimi sijisikii vizuri kusemeshwa/kuongea na Mtu simuoni/simtambui ila yeye ananitambua vizuri coz ananiona full.
Kwani tunapowazuia Wamasai wasivae rubega ofisini tunawapa excuse gani? nao si wana haki ya kutetea utamaduni wao?
Namuunga mkono Boris, tamaduni zao kwako, wakiamua kuvuka bahari wawe tayari na ku adapt style mpya.
Unamuamini mungu lakini huamini sheria za mungu?Nice reply!
Kuna watu duniani wanatukuza mavazi zaidi hata kumuamini Mungu na kutenda mema.