Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,325
- 5,674
Sasa ukiitwa kilaza utakisilika au nikikuita popoma nitakuwa nimefanya makosa
Leta aya na kifungu kinachosema wanawake wavae ninja siyo kuleta upumbafu wako hapa
Leta aya na kifungu kinachosema wanawake wavae ninja siyo kuleta upumbafu wako hapa
USIPOTEZE WATU KWA KUJIFANYA UNACHAMBUA QUR-AAN TUKUFU WAKATI HUJUI KITU. UNAWEZAJE KUSEMA MTU ATAKAEVAA KIMINI HAJAENDA KINYUME NA QUR-AAN WAKATI QUR-AAN IMEELEKEZA WANAWAKE KUSHUSHA JILBAAN ZAO???!!! TAMBUA KUUMIZA IMANI ZA WATU WENGINE NI KOSA KIKATIBA.