Bora kuwa single!

all the best,lakini mawazo yako yamejikita kwenye ubinafsi mkuu sorry to say that,kuwa na watoto sio stress peke mwanadamu anaipata,maisha kwa ujumla yana stress sasa kwanini kuwa na watoto umeona inakupa stress tu na sio furaha,hata mtoto mmoja mboa poa sana,limtokalo mtu ndivyo alivyo
 
No asil yangu tangu ukuaji wangu sinaga mazoea na wadada
Wote tumetokana na mbunye

Hata ukikinai kama mimi pia haibadili matokeo

Wote ni kizazi cha....! 😎🀭

Sema Ibaki na maua yake
 
Hapa nmetabiriwa mabaya itabd niendee kwa mtalam aka nichek
 
Kwenye hii post nimetoka na point mbili-;
1 nimegundua humu kataa ndoa hawamo.
Kumbe huwa wanasapot huenda ni stress za mahusiano.

2 huenda team kataa ndoa ina ukomo wa mda/umri.
Na nadhan mwisho wa kataa ndoa ni age ya 35
Kabisa
 
SI ndomaana unaponda kuoa, utaoaje uko hivyo, utadhalilika.
 
Ataajiri hadi mtu wa kumlomba? Unafikiri mtu baki anavyomhudumia mgonjwa, ataweza kutoa huduma nzuri kama ndugu wa damu?
Hawezi kuajiri mtu kwa ajili ya shughuli kama hzo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…