Village in
Member
- Mar 1, 2026
- 33
- 43
Kuna tatizo gani binadamu wakitoweka ulimwenguni mkuu?!Hizi DNA za kichoyo zinatakiwa zisiwepo kwa wingi duniani maana zitapelekea binadamu kutoweka ulimwenguni.
Kama huna hitilafu ila husaidii kuendeleza vizazi vijavyo it means uwepo wako unakua unakomea kwako by choice. Uchoyo wa kuwapa wengine nafasi ya kuwepo ulimwenguni.
Na hilo ndio tatizo la JF, mi kidogo nimwambie umechagua jambo zuri na kuna kabila lako wana movement kama yako awatafute wawe na community.Mtu anaweza andika uzi kushauri wengine kumbe ana matatizo yake binafsi
Kazini/kwenye biashara yenu hakuna wadada?No asil yangu tangu ukuaji wangu sinaga mazoea na wadada
😂😂😂😂
Sintaoa Wala sintaugua kindezindezi, Kataa ndoa tunza kibunda😂😂
Ofkoz Nina mwanamke Na watoto nane,nakaa nao, Ila sintaoa,Kataa ndoa
Nipo Arusha Makao MapyaMimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke,hakuna anaye npa stress npo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Sababu kuu ya kuzaa ni binadamu kuendelea kuwepo.Kuna tatizo gani binadamu wakitoweka ulimwenguni mkuu?!
Halafu hakuna mtu anayetaka ili watu waendelee kuwepo ulimwenguni au eti ili kizazi cha binadamu kisitoweke duniani, kila mtu anazaa kwa sababu zake binafsi ambazo ndio ubinafsi wenyewe.
Binadamu kutoweka duniani ni tatizo kivipi?Sababu kuu ya kuzaa ni binadamu kuendelea kuwepo.
Kutoweka binadamu ni tatizo kwa tunaotaka binadamu tuendelee kuwepo ulimwenguni boss.
Sema una gundu na wanawake acha kuleta visisngizio vya ajabu ajabuMimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke,hakuna anaye npa stress npo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Tupo….Kumbe masingo hum hawana watetez
Ngoja uumwe humo ndani, ndugu zako watashtukia umeshakufa. Na ukizeeka huna mtoto ndo taabu utakayoijutia, utafanya kazi za nyumbani una miaka 70?Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke,hakuna anaye npa stress npo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Nna 32 now, sina mtoto na naona nimechelewa sana,