mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,755
- 1,346
Ila wakati Magu amekata moto walisema yupo ofisini anachapa kazi... Tz ipo upsidedown.Baada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa