Boniface Jacob: Roho ya Thadei Ole Mushi yaiandama CCM

Watu hawatakiwi kususia mikutano ya viongozi kwa sababu ndio njia pekee ya kutatua changamoto zao. Mf hii ya Makonda kuna watu wanasaidiwa na kupata haki zao


Sehemu pekee hatutakiwi kujua wala kuchekeana ni kwenye kupiga kura.



Huwa najiuliza kwa jinsi watu wengi kwenye mitandao ya kijamii asilimia kubwa huiponda CCM , sasa huwa wanapitaje kwa kupata kura , je wizi wa kura ndio kigezo?
Mkuu ulikuwepo nchini 2019-2020? Kilichotokea ni uporaji wa kura kwani waliiba hadi wakasahau kuwa kwa kanuni za Mabunge ya Commonwealth kuna kamati 3 lazima ziongozwe na upinzani. Ndiyo hata wakapatikana hawa covid-19 ndani ya bunge. Haiwezekani chama kilichokuwa na wabunge zaidi ya 100 just over night kinakosa hata mbunge mmoja.
 
Typing error tu hiyo

..hata mimi nilifikiri ni typing error.

..sasa watu waungwana huomba radhi kwa makosa kama hayo hadharani.

..Ccm kushindwa kuomba radhi na badala yake kuwashutumu waliogundua makosa yao ni kukosa uungwana.
 
Mkuu ulikuwepo nchini 2019-2020? Kilichotokea ni uporaji wa kura kwani waliiba hadi wakasahau kuwa kwa kanuni za Mabunge ya Commonwealth kuna kamati 3 lazima ziongozwe na upinzani. Ndiyo hata wakapatikana hawa covid-19 ndani ya bunge. Haiwezekani chama kilichokuwa na wabunge zaidi ya 100 just over night kinakosa hata mbunge mmoja.
2020 ile ilikuwa ni uhaini
 
Back
Top Bottom