imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,631
- 72,993
Ilikuwa ni hotuba ya Kishetani.Hotuba iliandaliwa na Bunge , ikiwa imejaa sifa nyingi sana kwa "marehemu" Lissu
Ilikuwa ni hotuba ya Kishetani.Hotuba iliandaliwa na Bunge , ikiwa imejaa sifa nyingi sana kwa "marehemu" Lissu
Mipango ya kuidukua na kuileta hapa jukwaani inaendelea vizuriIlikuwa ni hotuba ya Kishetani.
Mkuu ulikuwepo nchini 2019-2020? Kilichotokea ni uporaji wa kura kwani waliiba hadi wakasahau kuwa kwa kanuni za Mabunge ya Commonwealth kuna kamati 3 lazima ziongozwe na upinzani. Ndiyo hata wakapatikana hawa covid-19 ndani ya bunge. Haiwezekani chama kilichokuwa na wabunge zaidi ya 100 just over night kinakosa hata mbunge mmoja.Watu hawatakiwi kususia mikutano ya viongozi kwa sababu ndio njia pekee ya kutatua changamoto zao. Mf hii ya Makonda kuna watu wanasaidiwa na kupata haki zao
Sehemu pekee hatutakiwi kujua wala kuchekeana ni kwenye kupiga kura.
Huwa najiuliza kwa jinsi watu wengi kwenye mitandao ya kijamii asilimia kubwa huiponda CCM , sasa huwa wanapitaje kwa kupata kura , je wizi wa kura ndio kigezo?
Walichanga nyingi tu ila hiyo ni siri ya familia.Hivi CHADEMA walimchangia ngapi kwenye matibabu?
MarderSuspicious kwa angle ipi?
Nina nina zao. Wamelaanika waleHotuba iliandaliwa na Bunge , ikiwa imejaa sifa nyingi sana kwa "marehemu" Lissu
Typing error tu hiyo
2020 ile ilikuwa ni uhainiMkuu ulikuwepo nchini 2019-2020? Kilichotokea ni uporaji wa kura kwani waliiba hadi wakasahau kuwa kwa kanuni za Mabunge ya Commonwealth kuna kamati 3 lazima ziongozwe na upinzani. Ndiyo hata wakapatikana hawa covid-19 ndani ya bunge. Haiwezekani chama kilichokuwa na wabunge zaidi ya 100 just over night kinakosa hata mbunge mmoja.