Boniface Jacob: Roho ya Thadei Ole Mushi yaiandama CCM

Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
It-is-dangerous-to.jpg
 
Boniface jacob anasema:
CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake.

Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
Muda huu kila jambo linapaswa kutiliwa mashaka, Je ni bahati mbaya.? au waliandaa mapema salamu zao za rambirambi wakijua atakufa hivi karibuni..?

Ni kukaa kwa machale.
View attachment 2894981
Duuuh ila hakuna jipya chini ya jua,,Yote haya hata Wakolonino waliyafanyagaa sisi si wajukuu zaoo😂😂😂🏃🏃🏃
 
Huyu Mushi SI ndio yule Kuna kipindi alitoafautiana sana mao I na viongozi wa ngazi za juu wa CCM Kisha baadae akapotea ghafra watu wakawa wanauliza kulikoni Ina maana amefariki kumbe?
 
Ccm ni taasisi kubwa una uhakika gan kama Ccm ndo iliyomua ?
Uhuni wa watu wachache usikufanya ukaihukumu taasisi nzima.
Tume huru iwekwe leo basi bado ccm inayo nafasi kubwa san ya kushinda kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani.

Tanzania bado ina wajinga wengi sana ukitaka kuthibitisha ilo angalia mikutano ya makonda anavyokuwa na nyomi la watu.

Kwa miaka iliyokaa mdarakani ccm kutawala na ukilinganisha na maendeleo yaliyopo ccm ilitakiwa iwe ishondolewa madarakan kitambo sana ila kwakuwa wajinga ni wengi san nchii hii, nao Ccm wanatumia mtaji uwo kubaki madarakani.
Watu hawatakiwi kususia mikutano ya viongozi kwa sababu ndio njia pekee ya kutatua changamoto zao. Mf hii ya Makonda kuna watu wanasaidiwa na kupata haki zao


Sehemu pekee hatutakiwi kujua wala kuchekeana ni kwenye kupiga kura.



Huwa najiuliza kwa jinsi watu wengi kwenye mitandao ya kijamii asilimia kubwa huiponda CCM , sasa huwa wanapitaje kwa kupata kura , je wizi wa kura ndio kigezo?
 
Back
Top Bottom