Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,775
- 699,200
Kiroho ina tafsiri kubwa sana.. Refer headingTyping error tu hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiroho ina tafsiri kubwa sana.. Refer headingTyping error tu hiyo
Mungu huwatia upofu wadhalimu na wanafique.. Hao walitiwa upofu hata wasione uongo walioutengenezaIt might be! But to be on the safe side you have to have suspicion!
Unazikwa kabla hujafaBaada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Mjadala ni wa kiswahili.It might be! But to be on the safe side you have to have suspicion!
Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
Kwenu wapi?Mi hata sielewi!
Kwani hakuna mbadala wa hoja kwa hoja hadi tuhuma kama hizi zielekezwe kwetu!!?
RIP comrade!!
Duuuh ila hakuna jipya chini ya jua,,Yote haya hata Wakolonino waliyafanyagaa sisi si wajukuu zaoo😂😂😂🏃🏃🏃Boniface jacob anasema:
CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake.
Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
Muda huu kila jambo linapaswa kutiliwa mashaka, Je ni bahati mbaya.? au waliandaa mapema salamu zao za rambirambi wakijua atakufa hivi karibuni..?
Ni kukaa kwa machale.
View attachment 2894981
CCMKwenu wapi?
Wamezoea ndiyo pigo zao
kima bibi akooTuwekee hiyo ratiba na Hotuba kima mmoja wewe
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Nafasi yako ni ipi huko ccm?
Wewe nguruwe WA samia kaa kimya na uendelee kudeki kwenye makorido ya lumumbaTuwekee hiyo ratiba na Hotuba kima mmoja wewe
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Wewe si umeshiriki katika kuiandaa ilete hapaKamuombe yule aliyeiandaa akupe nakala
..Wewe si umeshiriki katika kuiandaa ilete hapa
Pole wewe uliyebakishiwa akili kiduchu ya kuvukia barabara na kwendea chooni tuPOLE
Watu hawatakiwi kususia mikutano ya viongozi kwa sababu ndio njia pekee ya kutatua changamoto zao. Mf hii ya Makonda kuna watu wanasaidiwa na kupata haki zaoCcm ni taasisi kubwa una uhakika gan kama Ccm ndo iliyomua ?
Uhuni wa watu wachache usikufanya ukaihukumu taasisi nzima.
Tume huru iwekwe leo basi bado ccm inayo nafasi kubwa san ya kushinda kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani.
Tanzania bado ina wajinga wengi sana ukitaka kuthibitisha ilo angalia mikutano ya makonda anavyokuwa na nyomi la watu.
Kwa miaka iliyokaa mdarakani ccm kutawala na ukilinganisha na maendeleo yaliyopo ccm ilitakiwa iwe ishondolewa madarakan kitambo sana ila kwakuwa wajinga ni wengi san nchii hii, nao Ccm wanatumia mtaji uwo kubaki madarakani.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sanaIkaja kusomwa badae kwa Muandaaji. Mungu hataniwi.
Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
ndio yeyeHuyu Mushi SI ndio yule Kuna kipindi alitoafautiana sana mao I na viongozi wa ngazi za juu wa CCM Kisha baadae akapotea ghafra watu wakawa wanauliza kulikoni Ina maana amefariki kumbe?