Heart Wood.
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 886
- 930
Kila mtu anawaza upigaji tu, yaani vichwa vimejaa ni namna gani fursa ije ili mtu apige.
Huko kwenye ofisi za umma pamejaa mi-ungu watu, kuanzia mfagizi hadi ma-boss!
Badala ya kufanya kazi, watu wamejaa majungu, kuoneana wivu na kuchongeana.
Watu wanafiki kupitiliza. Usoni wanakuchekea kumbe moyoni wamejaza chuki kupindukia.
Watu hawana huruma kabisa na umaskini wa wenzao, yaani hawajali chochote, kila mtu anaangalia maisha yake.
Nimesikitika sana. Kwa namna hii tujajikomboa miaka 500 ijayo!
Huko kwenye ofisi za umma pamejaa mi-ungu watu, kuanzia mfagizi hadi ma-boss!
Badala ya kufanya kazi, watu wamejaa majungu, kuoneana wivu na kuchongeana.
Watu wanafiki kupitiliza. Usoni wanakuchekea kumbe moyoni wamejaza chuki kupindukia.
Watu hawana huruma kabisa na umaskini wa wenzao, yaani hawajali chochote, kila mtu anaangalia maisha yake.
Nimesikitika sana. Kwa namna hii tujajikomboa miaka 500 ijayo!