Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,571
- 235,411
- Thread starter
-
- #381
Kwangu mimi sioni kama ni sawaHiyo ni nzuri, kuongeza upambanaji na juhudi binafsi ya kila msanii. Ukiweka pesa nyingi kwa mshindi wa 2 - 5, wanabweteka wakijua pesa ipo ya kutosha.
Yule dada wa Mbeya alishinda bali siasa ndio zikampa ushindi binti wa UgandaBongo Star Search 2026 - Msimu wa 16 🔥
Sasa inaitwa CRDB Bank Bongo Star Search 2026
Mambo muhimu ya msimu huu:
1. Theme & Zawadi
- Theme: "Next Level Revolution" + "Beyond Borders"
- Mshindi anaenda na milioni 50+ na gari jipya
2. Sio uimbaji tu tena
Msimu huu umepanuka. Sasa wanakubali:
Uimbaji, Uchezaji, Sarakasi/Acrobatics, Uchekeshaji/Comedy, Uigizaji, Uchoraji, Vipaza ala
3. Tarehe & Majiji ya Auditions
- Ilikua ianze Nov 22, 2025 Mwanza La Kairo Hotel
- Lakini sasa imeahirishwa: Feb 7-8, 2026 Mwanza Rock City
- Majiji mengine: Arusha Nov 29-30, Mbeya, Dar es Salaam, Dodoma
- Uzinduzi nje ya Tz kwa mara ya kwanza: Machi 12, 2026 Nairobi
4. Vitu vipya 2026
1. CRDB Bank wameingia kama mdhamini mkubwa
2. Wasiofaulu wanafundishwa financial literacy na CRDB
3. Wanashiriki kutoka Tz + Kenya, Uganda, Congo, Malawi, Rwanda, Burundi
4. Inaonyeshwa kila Ijumaa na Jumamosi 8:09-8:30
Jumapili 8:00 - 9:00 PM Sinema Zetu, Azam Tv
5. Majaji
Madam Rita Paulsen, Master Jay, Coy Mzungu ,Salama Jabir
6Washiriki
1.Zion (Dodoma)
2.Zacksoul(Arusha)
3.Pendo John(Arusha)
4.Sofia(Mbeya)
5.Sheridah(Dsm)
6.Freya Bellamy(Congo)
7.Praise Wisdom (Uganda)
8.Bellanuts(Rwanda/Uganda)
9.Joshua Gully,(Congo )
10.The only Jambia(Kenya)
11.Switney(Kenya)
12.Tel Ur vision .group la Dancers (Dsm)
13.Wa Drama(Comedian _ Mbeya)
14.Sumerellah(Dodoma)
1
BSS Winner season 16 2025/2026
PRAISE WISDOM _UGANDA
50Million Tzs
Gari kutoka AA motors Morogoro
View attachment 3605310
Naunga mkono hojaKwangu mimi sioni kama ni sawa
Maana mara nyingi mshindi wa 1 Hadi wa 3 huwa wanapishana kidogo sana
Na wengi wao hufeli Kwa sababu tu ya machaguo ya nyimbo, na si kwa sababu hawana uwezo.
Hili mimi nalisema tangu miaka mingi.Naunga mkono hoja
Hakustahili kushindaYule dada wa Mbeya alishinda bali siasa ndio zikampa ushindi binti wa Uganda
Hiyo ya Kayumba nakuunga mkono ni kwasababu Madam Rita alikuwa kipenzi chake ndio maana akashinda ila hakustahili. Waandaji wangejitahidi kutoweka gape kubwa kati ya mshindi wa Kwanza na wapili na hii ndio maana inafanya washindi wengi wasifanikiwe kwenye mziki wanakuja kutoboa wengineHili mimi nalisema tangu miaka mingi.
Mfano final ya 2015
Mshindi wa 2 Hadi 4 ,,hasa wa 4 alitakiwa ashinde
Mary Kato ,Fonabo, Frida Amani were far better than Kayumba
2018
Mshindi wa 1 na 2 walikuwa na uwezo sawa ila Phina akamzidi kete jamaa
2023 Asagwile aliyekuwa mshindi wa 2 2018akashiriki tena ndio akashibda
Rita aache udiktetaHiyo ya Kayumba nakuunga mkono ni kwasababu Madam Rita alikuwa kipenzi chake ndio maana akashinda ila hakustahili. Waandaji wangejitahidi kutoweka gape kubwa kati ya mshindi wa Kwanza na wapili na hii ndio maana inafanya washindi wengi wasifanikiwe kwenye mziki wanakuja kutoboa wengine
Masterjay kakutana heka heka Kama hizo ndio maana kasusa Kwanza hakupenda Zack soul kupita kwenye ile performance alioimba nje ya key nafikiri hii ndio imechangiaRita aache udikteta
Kama hawezi kuwasikiliza wenzie basi awe Jaji pekeyake
Ila siyo anaweka Majaji wengi halafu hataki wawe na maamuzi.
Nina hakika hata jana kulikuwa na malumbano pia Hadi Master akaona asuse.
Zacksoul alitakiwa kutoka ile siku ila Wakamsacrifice JambiaMasterjay kakutana heka heka Kama hizo ndio maana kasusa Kwanza hakupenda Zack soul kupita kwenye ile performance alioimba nje ya key nafikiri hii ndio imechangia
Baada ya kutolewa Sheridah, Rita akawa anashutumu wengine eti, alitaka hata Koy akengeushe alama zilizokuwa kwenye karatasi tayari.Rita aache udikteta
Kama hawezi kuwasikiliza wenzie basi awe Jaji pekeyake
Ila siyo anaweka Majaji wengi halafu hataki wawe na maamuzi.
Nina hakika hata jana kulikuwa na malumbano pia Hadi Master akaona asuse.
Ya 3 ingemtosha. Haikuwa fair kwa Freya.Hata mimi ningeweka hivi
Kulingana na performance zao
Sophia wamemuweka wa2 ili kuepusha maneno maneno mengi maana wanajua anapendwa
Hili nalo waliangalie kwakweli!ila mshindi wa kwanza apate 50m na gari na nini sijui
alafu mshindi wa pili milioni 5 aiseee
Bado hata ya 2 hakufsnya vibaya sanaYa 3 ingemtosha. Haikuwa fair kwa Freya.
Rita bwanaBaada ya kutolewa Sheridah, Rita akawa anashutumu wengine eti, alitaka hata Koy akengeushe alama zilizokuwa kwenye karatasi tayari.
Ikipendeza awe msimamizi tu, Judging awaachie wengine. Apewe KARATA 3 tu za kuingilia maamuzi ya judges, zikiisha basi.
Ingemtosha Sofia kama walitaka Mtz kwa Tatu Bora.Bado hata ya 2 hakufsnya vibaya sana
Nimekaa nikaamgalia tena
Hakuharibu.
Ila Rita anatumia sana hisia kujaji
Kuliko akili.
Coy anaulizwa 'umesema huyu kama Dodoma mbali aje jirani yako unamaanisha nini? Au atoke kwenye mashindano?'Rita bwana
Halafu watuwekee majaji wenye msimamo kama master J na salama.
Eti Coy anajaji waimbaji
Sijui anajaji kitu gani
S2kizzy hajui waimbaji muendelezo wa waimbaji
Ghafla tu anaibukia kujaji
Ila Rita yaani sijui ndio anazeeka.
Mizaha yake ilivuka mipakaCoy anaulizwa 'umesema huyu kama Dodoma mbali aje jirani yako unamaanisha nini? Au atoke kwenye mashindano?'
Akajibu eti 'huyu atoke aende wapi, kwenye fainali yumo humu'😂
Sofia hakustahili Top 2Ingemtosha Sofia kama walitaka Mtz kwa Tatu Bora.
Wakifanya utapale watapotea, watu watawapuuza. Waache watu washinde kwa haki, isiwe kubebana.Mwakani watafanya juu chini Mkenya au mtanzania ashinde namba 1