Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,125
- 6,209
Kama ni hivyo, kwangu mshindi ni Freya, nilidhani Praise hana advantage ya kunolewa.Praise mwenyewe kanolewa sana tu! Huko kwao ni mwanamuziki nina video ya nyimbo yake aliyorecord akiwa na miaka 4
Kwanza Abbah hatokubali kumuita Sherida shemeji ni lazima tunda ale kwanza mwenyewe.OH kama n hv bc safi, japokuwa sioni future kwake.
Ila kumanage mwanamke kimuziki sio kazi ya kitoto, Abbah ana kazi kubwa sana kwake, wakike n mwepesi sana kutoka kwenye reli.
Maybe kwakuwa amepitia THT anaweza kusogea mbele.
Ah kwamba kosa n kunolewa?Kama ni hivyo, kwangu mshindi ni Freya, nilidhani Praise hana advantage ya kunolewa.
Ila mpango wa majaji upo dhahili, labda waniprove wrong.
Freya mwenyewe kwao ni mwanamziki hawa wa live band, hawa top 4 ambae hajanolewa ni Sophia peke yake.Kama ni hivyo, kwangu mshindi ni Freya, nilidhani Praise hana advantage ya kunolewa.
Ila mpango wa majaji upo dhahili, labda waniprove wrong.
Upo sahihi, Kwenda kulana ndo kitu Abbah ameona na sio future ya huyo mwanamke.Kwanza Abbah hatokubali kumuita Sherida shemeji ni lazima tunda ale kwanza mwenyewe.
Sioni future mbele yao
Hapana sio kosa, ni kwamba uanja umekua fair. Mimi nilidhani hakupata hiyo privilege na bado ameonesha kitu. Ila kama wote wamenolewa then it's evenAh kwamba kosa n kunolewa?
U can't be serious mzee
pointKwa Abbah n sawa, ila kwa S2kizzy hamfai, mana S2kizzy amezoea kuoiga ngoma za ukichaa na sheridah haziwez hizo
Sijaona Tatizo lolote kwenye kunolewa.Hapana sio kosa, ni kwamba uanja umekua fair. Mimi nilidhani hakupata hiyo privilege na bado ameonesha kitu. Ila kama wote wamenolewa then it's even
Mimi nalala matokeo nitayakuta keshoUpo sahihi, Kwenda kulana ndo kitu Abbah ameona na sio future ya huyo mwanamke.
So fire anajua kuliko huyo sheriah Ila hana mvuto hvy hawatomzingatia sana
Nina imani wameshaanza huo mchakato wa kulana😄, wataendeleza walipoishia mara yamwisho.Upo sahihi, Kwenda kulana ndo kitu Abbah ameona na sio future ya huyo mwanamke.
So fire anajua kuliko huyo sheriah Ila hana mvuto hvy hawatomzingatia sana
iweke hapa tuonePraise mwenyewe kanolewa sana tu! Huko kwao ni mwanamuziki nina video ya nyimbo yake aliyorecord akiwa na miaka 4
Usilale, hawa wanatupa company kuelekea mechi ya Argentina saa 10 kamili.Mimi nalala matokeo nitayakuta kesho
Demu atagongwa sana then ataachwa kwenye mataa 😂Nina imani wameshaanza huo mchakato wa kulana😄, wataendeleza walipoishia mara yamwisho.
Si umeiona posture ya binti mwenyewe
hajafika🤣🤣🤣🤣ameishia kwa habbaSheridah ana kitu atafika mbali
Hataamini macho yakeDemu atagongwa sana then ataachwa kwenye mataa 😂
miuno feni🤣🤣nyamanyama nani hapendiHataamini macho yake
Mshindi n praise, msaidizi wake n so fire 😂Mimi nalala matokeo nitayakuta kesho
🤣🤣bado kidogo relaxMshindi n praise, msaidizi wake n so fire 😂
yule dada wa Dodoma kanolewa wapiFreya mwenyewe kwao ni mwanamziki hawa wa live band, hawa top 4 ambae hajanolewa ni Sophia peke yake.