Ila ujanja wake hautofua dafu kwa kayumbaAhahaaa jamaa mjanja sana!
CCM Sasa Ndiyo Tunapima Juhudi Zetu Za KAMATI Ya UFUNDI Tunayoitumia Ktk Kampeni Za UCHAGUZI MKUU Huu Kupitia Kwa KAYUMBA JUMA Na ANGEL MARIE KATO Na Mmoja Wapo ASIPOSHINDA Hapo Taji La BSS Basi Hakika CCM 100% Mwaka Huu Hatuna CHETU. Akishinda Tu Mmoja Wapo Kati Ya Hawa Basi Dr. Magufuli Njia Yake Itakuwa Ni Nyeupe Kuelekea IKULU Yetu Ya MAGOGONI.
Ninayo
Jamani huyu aliyeimba afrika ndio mwenye kibaji zaidi ya hao wotee kuna kitu kimejificha sanaaa ni ngumu wabongoo kukionaa. Nampa kura yangu aisee amenikunaaa mwee!!!
Ila ujanja wake hautofua dafu kwa kayumba
KaizimaMbeep basi tumwone atakavyoitafuta hiyo simu yake.
Wewe kayumba hujamuweka jamani? Angel mary haingiiyeap!Angel Frida Fonabo
Madam ni timu mabadiliko mwenzetu.
Sema Tu Ni MKASKAZINI Mwenzenu Period.
Naamini ataingia japo hakufanya vizuri leoWewe kayumba hujamuweka jamani? Angel mary haingii
Sidhani kwa kweli, fridah kakomeshea kurudishwaNaamini ataingia japo hakufanya vizuri leo
Naisikia sauti ya kayumba kwenye ya moto band
hahaha ila atafifi sana hapoNaisikia sauti ya kayumba kwenye ya moto band
Yani mule muleKayumba band inayomfaa ni YAMOTO tuuuu!fundiiiiiiii