Ole wake asiupatie huo wimbo wa fundi Ali Kiba.
Ila huyu jamaa anajua kwakweli..
Ujanja utampeleka mbaliKev chaujanja hahaha
Unawasikia wanavyomuharibia nyimbo KELVIN!?sijui wamelipwa Laki moja hawa watu maana wanahaaribu sana
Hajautendea haki kaniudhi bana
Mater J ana majina yake mfukoni.
Nahisi wanatumika hasa hao waitikiaji utafikiri vyura
Nahisi wanatumika hasa hao waitikiaji utafikiri vyura
Kawaida sana. Ngoja jembe frida lijeMi hajanibariki hata hivyo