Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Master J kasemaje?Nilikuwa naongea na simu kidogo sijamsikia vizuri.
 
Nadhani selection ya wimbo nayo inachangia, huyu teacher (Jackline Kakenge) naona kapoa poa kuliko waliopita
Hizi nyimbo wote walishaziperform before. Jack huo ndo wimbo wake alioperform Vizur zaidi according to me. ana asili ya kupooza
 
Hafu kweli hawa wapiga vyombo ndo wanaharibu na wale wanaoimba nao chorus kuwapa back up wanawaharibia sana tyu

Tangia mwanzo hao jamaa wanaharibu sana kwenye vyombo!sijui madam ritta amewapendea nini!FONABO anapiga mwenyewe inakua poa sana!wako locally sana hawa jambo na mi drums yao
 
Tangia mwanzo hao jamaa wanaharibu sana kwenye vyombo!sijui madam ritta amewapendea nini!FONABO anapiga mwenyewe inakua poa sana!wako locally sana hawa jambo na mi drums yao

Next time awatafte walio wazuri kwenye vyombo wanaharibu kuna kuwa na makelele hadi kero
 
Hawa watu wa sound wamewatoa wapi???
 
Hapo kawashika wanawake vibaya sana,sikia wanavyoshangilia.....
 
Huyu Nasifu Nabo mbona ndo atakuwa wa kwanza kutoka sasa, anazidiwa hata na Teacher
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom