Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Huyu Jack anawezea sana huu wimbo wa Kanyimbe,ningekuwa yeye ningekuwa naimba nyimbo za Juliana tu.
 
Jamani washiriki wa Leo hawako vizuri ka siku nyingine sijui ni homa ya finale

Hao wapiga ngoma wamewawekea sauti kubwa kuwazidi mpaka imepoteza mvuto!washariki wote hawasikiki kabisa kwasababu ya hizo drums!wamenikeraaa
 
Kayumba hajaimba vile anaimbaga.Sijui ni choice of song au nini.
 
Hao wapiga ngoma wamewawekea sauti kubwa kuwazidi mpaka imepoteza mvuto!washariki wote hawasikiki kabisa kwasababu ya hizo drums!wamenikeraaa

Hafu kweli hawa wapiga vyombo ndo wanaharibu na wale wanaoimba nao chorus kuwapa back up wanawaharibia sana tyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom