hahahaaaaaaaaa....bongo movie burdaaaaaniMovie inaanza mtoto mweusiii kichwani kipilipili cha nguvu..halafu akiwa mkubwa ni mweupeee...na nywele za kiarabu!
-movie inapoanza tu tayari unajua itaishaje.
-asilimia kubwa ya movies lazima kuna harusi au msiba.
-scene inaonyeshwa kuanzia mtu anaanza kula, anashushia na maji, kama ni shughuli speech nzima inaonyeshwa.
-halafu Ray hata kushangaa hadi asome script, utamsikia mama weee ile ya kusoma kwa karatasi
Mwanamke amelala kapaka lip shine na makeup
sehemu ya mapenzi wanafanya ngono kiukweli
jambazi lazima awe na sura mbaya na awe ananuna muda wote