Bongo movies...

-movie inapoanza tu tayari unajua itaishaje.
-asilimia kubwa ya movies lazima kuna harusi au msiba.
-scene inaonyeshwa kuanzia mtu anaanza kula, anashushia na maji, kama ni shughuli speech nzima inaonyeshwa.
-halafu Ray hata kushangaa hadi asome script, utamsikia mama weee ile ya kusoma kwa karatasi
 
-movie inapoanza tu tayari unajua itaishaje.
-asilimia kubwa ya movies lazima kuna harusi au msiba.
-scene inaonyeshwa kuanzia mtu anaanza kula, anashushia na maji, kama ni shughuli speech nzima inaonyeshwa.
-halafu Ray hata kushangaa hadi asome script, utamsikia mama weee ile ya kusoma kwa karatasi

Hahahaa..duh hiyo ya kushangaa kwa script noumaa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom