PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 659
- 1,074
Hawa jamaa miaka kama 12 sijawahi waangalia siku za Hivi karibuni nilitumiwa picha na wife akisema hili ni jini la bongo movie. Nikajua ni utani wa bibie.
Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.
Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.
Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.
Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk. Hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.
Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.
Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.
Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.
Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.
Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.
Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk. Hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.
Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.
Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.