Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Alikuwa na nguo zaidi ya moja zenye thamani ya shilingi 150,000, na siyo nguo moja.
Alianza kwa kusema alikuwa na nguo ya thamani ya 150,000 hata mimi mwanzoni niliewa hivyo mpaka mwisho wa story.
Mimi nadhani tatizo sio BONGO, exposure wala LOW LIFE kama wengine wanavyodai.
Napenda kuamini kuwa hao wenye maduka wana exposure ya kutosha, nadhani TATIZO NI CHEAP LABOUR. suala la customer care is sometimes a common sense and sometimes a person need to undergo some training, kama wenye maduka wanashindwa kuwatrain wafanya kazi wao au kurecruit train employees kwa kuogopa kuwalipa mishahara minono tegemea treatment kama hizo.
Jaribu kuangalia customer care ya hotel tofauti tofauti hapa bongo utakubaliana na mimi, sometimes tusifuate MAJINA ungekuja dukani kwangu ungepata the quality stuffs na lugha laini mpaka ukafikiri uko mamtoni.
POLE SANA LAKINI.