Bongo kunakera!

Kila kitu ni kukijulia ,mtu hunyakanyaga bongo miaka kibao,ukifika unavamia na kuwaona watu bado ni wale wale uliowawacha kumbe inawezekana kabisa wapo mbele kimaendeleo kwani miaka yote uliyoondoka tayari wameshafika wageni wengi kutoka kila pembe ya Dunia ,aisee wewe umeishia hapo UK tu ,huku wanakuja watu kutoka mataifa mbali mbali na wanajumuika na wenyeji hivyo inawezekana kabisa wakakushangaa ,maana nchi imejaa vibaka na wewe unafanana navyo ,kwani vibaka mavazi yao ni ya bei mbaya ,hapo ndipo wanapokuchanganya na kukuona mwizi tu ,lazima wakuekee ubavu ,ili kama yapo mazungumzo yaishe ,si unajua tena nchi imekauka lazima utilie maji ili mimea ije juu,iyo lugha ulipoondoka ilikuwa haipo.


,,,,,yaap MWIBA,hii ndo inatuponza,manake siku hizi hao wezi ndo wapo smart ile mbaya kuliko hao wateja halisi,kwa bongo sasa hivi USIMUAMINI mtu,ukicheka na NYANi utavuna MABUA mzee.
 
WANDUGU,

2.Customer care ni eneo ambalo linahitaki kufanyiwa kazi sana kwenye biashara.Nadhani wajasiriamali mlioko humu ndani mnaweza kujipatia ujiko endapo mtajikita katika kutoa mafunzo.Tanzania mteja siyo mfalme bali mhudumu wa duka/restaurant etc ndiye mfalme.

NAAM, hapa ndipo ulipo mzizi wa fitna: TANZANIA MTEJA SIO MFALME BALI MWENYE DUKA/BIASHARA/BUS, N.K. NA PIA WAHUDUMU WA KILA MAHALI (DUKANI, HOTELINI, OFISINI, SERIKALINI, na kadhawakadha. Hata ukiangalia risiti unayopewa ukinunua kitu dukani imeandikwa, "Item(s) cannot be returned or exchanged". Why not? Je, haki ya mnununzi iko wapi? Nami nina mifano mingi tu niliyonunua kitu fulani dukani lakini baada ya kufika nyumbani hakifanyi kazi - ni defective from the manufacturer. Ninaporudisha wanaionyesha hiyo ilani chini ya ya risiti.

DAWA ni kuunda CONSUMERS' ASSOCIATION ambayo itafuatilia Quality control "kwa wateja" (sio chombo cha Serikali) na masuala ya malalamiko ya watumiaji bidhaa na wateja pamoja na mapendekezo ya kuboresha bidhaa na mahusiano ya kati ya mteja na mwenye mali na mtoa huduma. JE, KUNA MDAU ANAJUA SHERIA INAYOHUSU HOJA HII?

_____________________________________________________________

KIATU CHANGU KIPANA LAKINI KINANIBANA
 
NAAM, hapa ndipo ulipo mzizi wa fitna: TANZANIA MTEJA SIO MFALME BALI MWENYE DUKA/BIASHARA/BUS, N.K. NA PIA WAHUDUMU WA KILA MAHALI (DUKANI, HOTELINI, OFISINI, SERIKALINI, na kadhawakadha. Hata ukiangalia risiti unayopewa ukinunua kitu dukani imeandikwa, "Item(s) cannot be returned or exchanged". Why not? Je, haki ya mnununzi iko wapi? Nami nina mifano mingi tu niliyonunua kitu fulani dukani lakini baada ya kufika nyumbani hakifanyi kazi - ni defective from the manufacturer. Ninaporudisha wanaionyesha hiyo ilani chini ya ya risiti.

DAWA ni kuunda CONSUMERS' ASSOCIATION ambayo itafuatilia Quality control "kwa wateja" (sio chombo cha Serikali) na masuala ya malalamiko ya watumiaji bidhaa na wateja pamoja na mapendekezo ya kuboresha bidhaa na mahusiano ya kati ya mteja na mwenye mali na mtoa huduma. JE, KUNA MDAU ANAJUA SHERIA INAYOHUSU HOJA HII?

_____________________________________________________________

KIATU CHANGU KIPANA LAKINI KINANIBANA


Shida itakuja pale WENYE DUKA/BIASHARA/BUS watakapo fisadi CONSUMERS' ASSOCIATION, safari ni ndefu sana!!
 
Dear angalia jiepushe na madada ili usijiingize kwenye matatizo kwani wakikumind halafu wewe unajifanya kutomind utaishia kuitiwa polisi, be carefull
 
Back
Top Bottom