Bongo fleva zilipendwa audio 2012 to the past

Bongo fleva zilipendwa audio 2012 to the past

Kuna ngoma fulani ya kina Soggy doggy nadhan ni kundi lao zima la Hot pot family, kuna ngoma fulani walikuwa wanaimba kama wanakigugumizi hivi, niliiskia mara moja tuu sijawahi iskia tena! Ila kama sikosei kwenye kiitikio kuna baadhi ya maneno nayakumbuka kidogo. "aa ananado hot pot kamiligado" kwa mwenye nao anisaidie
 
Dingi-domokaya&mandojo
Njoo ucheze na mi-Mack Dizo
Fagio la Chuma
Mpenzi-dudu baya
Mzee wa busara-haroun ft nature
Binti mlokole-Father G
Kimya kimya-Jaymoe
Zali la mentali-Prof jay
Kazi ipo-Tmk w Fmly
Paa-Wa2ku2
 
Msanii anaitwa nani. Hadi kuna line ina sema


" Gita Nani nakuita itika baasi, na tena naona daily unapenda mikasi, nite Nani mim mzeee wa nyasi, figure yako ya kuvaa kimini

Basi gitaa haunitoki akilini,
Nyuzi zako sita kiunoni,
Sauti yako inavyopenya masikioni......"


Nakumbuka lines zote ila naisaka hii ngoma kichizi yaanaitwa a unit
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom