Bongo fleva zilipendwa audio 2012 to the past

Bongo fleva zilipendwa audio 2012 to the past

nakujankwenu nikitafuta nyimbo zifuatazo
funguo iliyo potea
stori tatu tofauti
waimbaji siwakumbuki ahsanteni sana
Funguo waliimba Longombas kutoka Kenya,

Stori tatu ni Jay Mo kutoka Tz.
 
Jamani Mike T.....
Aliyenazo azipandishe hapa.
"Kama mike t ningekuwa star"
 
Kuna kadem kanaitwa Jackie Marie aliimbanga kawimbo kazuri akapotea

Ule wimbo siukumbuki ila ulikuwa unapigwa sana ITV usiku.
Utulie wangu mpenz mimi ni wako daima...
 
Mwenye wimbo wa kwanza unit Msafiri... nautafuta sana.
 
Bush Party ya Solid Ground Family nani anayo??

Na ile Bongo Dar es Salaam ya Nigger Jay wa enzi hizo saa hizi Prof Jay.
Mi nnayo ila namna ya kuiweka hapa ndio nimeshindwa
 
kuna jiwe la @G-VAN inaitwa nataya,jamaa anajua ila sijajua kajichimbia wapi jamaa
 
E bhana kama kuna mtu ana ngoma ya g solo inaitwa "umaarufu unafanya anang'aa akatizapo kila kona ya mtaa" anidondoshee
 
Mwenye wimbo unaoitwa "WEWE" wa msanii RADO mwenye nao atabarikiwa sana akiuweka hapa coz kila nikiutafuta naambulia patupu.
 
Dah! Hizi ngoma tunakumbushana mengi aisee
Inaniuma sana- juma nature
Jela- juma nature
Sonia- juma nature
Hili gemu- juma nature
Narudi kijijini- juma nature
 
Cover.jpg
 
Msanii anaitwa nani. Hadi kuna line ina sema


" Gita Nani nakuita itika baasi, na tena naona daily unapenda mikasi, nite Nani mim mzeee wa nyasi, figure yako ya kuvaa kimini

Basi gitaa haunitoki akilini,
Nyuzi zako sita kiunoni,
Sauti yako inavyopenya masikioni......"


Nakumbuka lines zote ila naisaka hii ngoma kichizi yani
Fanya mpango naitaka jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom