Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,241
- 4,441
Imehamia wapi bàada ya kuvunjwa?Lile ni eneo la railway imagine hata stand ya mkoa imevunjwa
Imehamia wapi bàada ya kuvunjwa?Lile ni eneo la railway imagine hata stand ya mkoa imevunjwa
Umeona eee mkuu ha ha haaa!mkuu kila nikiona avatar yako! lazima niweke mikono mfukon! Mungu fundi.
Ha ha haaa kweli ee?weka na kichwan
Haswaaa!Safi sana hapa kazi tu
Swissme
Ikiwezekana hata bunge maana nahisi lipo kwenye hifadhi ya barabara.Dodoma wavunje tu hadi miundominu
SijajuaImehamia wapi bàada ya kuvunjwa?
KumbeHapana ni hivi like eneo ni la railway ata kuangalia kuna baadhi ya miundombinu ya shirika la reli ila imeachwa .
Ishu ni ivi like eneo ilikuwaga Mali ya railway manispaa ndo wakawa wameomba shirika la reli waanze kulitumia wakawaruhusu kulitumia lakini kwa shughuli temporary sasa manispaa wao wakajenga masoko hadi stand wakawa wanakusanya ushuru pia wakawauzia na wafanya biashara kama akina shabby wakajenga halimashauri wakajenga na ukuta wa stand kutoza ushuru vizuri ndo railway wakawawekea bomoa ndo ishu imeenda mahakamani railway wameshinda miundombinu ya manispaa yote inaondoka yakiwemo masoko na stand .Kama utakuwa unapafahamu utaona kabisa kama Ile stand ya kisasa ipo katika makazi ya wafanyakazi wa reli.
Kingine usisahau wale wanajenga reli za kisasa wanaandaa mazingira kwa ajiri ya bandari kavu.Nachokisema nakijua kwa asilimia zote mkuu
Ndo hivyoKumbe
DODOMA: Kampuni Hodhi ya Usimamizi wa Reli (RAHCO) wameanza kubomoa nyumba zilizo karibu na hifadhi ya reli kupisha ujenzi wa reli ya kisasa
Wananchi walioathirika na zoezi hilo wamesema wamepewa muda mchache wa kuhama na mali zao zimeharibika na kuwasababishia hasara kubwa
Ofisa uhusiano wa RAHCO, Catherine Mushi amesema walitoa notisi ya kuwabomolea tangia mwezi Novemba mwaka jana
Bomoa bomoa hiyo linategemewa kuchukua siku 3 hadi 5 na watu walio katika hifadhi ya reli hawatalipwa
===============================
Hivi sasa hapa Dodoma ineandelea bomoabomoa ya kufa mtu.Vibanda vya biashara vingi vimenjwa ikiwa ni pamoja na ofisi za Shabiby na kituo cha mafuta cha ORYX kilichokuwa nyuma ya jengo la Shabiby.
Jengo la kampuni ya mabasi ya Shabiby lilikuwa bado jipya kabisa baada ya kulijenga upya hivi karibuni.
Kituo cha mafuta cha TOTAL kilichokaribu na stand ya Jamatani wao angalau wamefanikiwa kuokoa pump zao na wananyonya mafuta yaliyoko chini kwenye matenki.
Benki ya NMB nao ndio wanajaribu kuokoa mashine zao 3 za ATM zilizokuwakuwa zimefungwa katika kituo hiki cha mafuta cha TOTAL.
Kwa ujmla watu wengi sasa wanahangaika kuokoa mali zao.Zoezi limeanza saa 10 jioni hii na kuna taarifa wananchi walitangaziwa ingawa wengine wanasema hawakutarajia kuwa itakuwa ni leo.
Ukweli ni kuwa ajira nyingi sana zisizo rasimi zimeathirika maana vibanda vya biashara vilivyovunjwa ni vingi mno na eneo lililoathirika ni kubwa sana.
Eneo hili tunaambiwa ni mali ya Shirika la Reli nchini.
Ulinzi ni mkali.
Hapanakuna ghorofa Fulani kwa chini kulikuwa na maliwato ya kulipia na lenyewe wamelibomoa?
Bado stand ipo sema baadhi ya ofisi zimevunjwaImehamia wapi bàada ya kuvunjwa?
Acheni majungu tunajenga nchi! Msikose uzalendo kiasi hicho!Watu wa Mwanza wasibomolewe ndo walonipa URAHISI
Poleni jamani, ha[a ni zaidi ya majanga
mategemeo ya familia yamepoyea kabisa kwani ajira zimepotea
na wengi walitaji kusomesha na kujiwekea vipato
SAWA. JE JAMTIN NA LILE KANISA PALE KAMA UNAELEKEA SARAFINA BAR, VIPI NA ZENYEWE. JE ZIMEVUNJWA?Sheria inafuata mkondo! Uzuri hakuna anayeonewa, wako watu walijua wana makosa ila wakawa wanademadema wakati wa awamu zile. Sasa awamu ya utekelezaji iko kazin