Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

Tukumbuke kuwa awamu ya pili ya ujenzi wa standard gauge imeshasainiwa hadi Dodoma,contractors ni haohao Waturuki ni lazima sasa wanahitaji eneo ambalo reli hiyo itapita kwa ajili ya maandalizi ya awali kwa hiyo zoezi hilo ni sahihi maana wakicheleweshwa kupatiwa maeneo ya reli hiyo inapopita watadai waongezewe muda na wananchi wa maeneo hayo walishapewa taarifa na x ziliwekwa muda mrefu kuwa wahame
 
Hivi sasa hapa Dodoma ineandelea bomoabomoa ya kufa mtu.Vibanda vya biashara vingi vimenjwa ikiwa ni pamoja na ofisi za Shabiby na kituo cha mafuta cha ORYX kilichokuwa nyuma ya jengo la Shabiby.

Jengo la kampuni ya mabasi ya Shabiby lilikuwa bado jipya kabisa baada ya kulijenga upya hivi karibuni.

Kituo cha mafuta cha TOTAL kilichokaribu na stand ya Jamatani wao angalau wamefanikiwa kuokoa pump zao na wananyonya mafuta yaliyoko chini kwenye matenki.

Benki ya NMB nao ndio wanajaribu kuokoa mashine zao 3 za ATM zilizokuwakuwa zimefungwa katika kituo hiki cha mafuta cha TOTAL.

Kwa ujmla watu wengi sasa wanahangaika kuokoa mali zao.Zoezi limeanza saa 10 jioni hii na kuna taarifa wananchi walitangaziwa ingawa wengine wanasema hawakutarajia kuwa itakuwa ni leo.

Ukweli ni kuwa ajira nyingi sana zisizo rasimi zimeathirika maana vibanda vya biashara vilivyovunjwa ni vingi mno na eneo lililoathirika ni kubwa sana.

Eneo hili tunaambiwa ni mali ya Shirika la Reli nchini.

Ulinzi ni mkali.
CCM ni laana kubwa sana .
 
Human face kwa waliompigia kura tu na hawa ni wa Mwanza tu, mikoa mingine ni sura ya kishetani tu, roho mbaya, chuki za kutisha mtindo mmoja.
Awamu ya bomoa bomoa

Ujenzi wenyewe wa kitanzania huu ulivyo mgumu

Mtu anadunduliza miaka 5

Inasikitisha

Bomoabomoa isikie kwa watu tu
 
Back
Top Bottom