shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,319
npo dom njooShushushu uko pande hiyo? Nataka kuja xmass niku pm? Maana hii avatar ni hatari.
npo dom njooShushushu uko pande hiyo? Nataka kuja xmass niku pm? Maana hii avatar ni hatari.
Mkuu read between the line,wanasema mkuu ni mbaguzi kwani hata Machinga wqlifurushwa kuanzia dar ya Kariakoo na Makonda na kukawa kweupe dar hadi Ubungo ila zoezi lilipofika Mwanza akasema waachwe wapiga kura wake na the same applied kwenye bomoa bomoa!!DODOMA ndo ya 1 hakuna upunzani pale
Utajibiwa "wasukuma ndiyo waliomchagua"..sasa mbona wakifika kule ghafla wanakuwa na " hyumani feis."
..tunataka HAKI SAWA kwa wote nchi nzima.
Habari za saa hizi..shabbiby imevunjwaaa
Huko inaelekea hakuna watu waliompigia kura Magufuli!!!
CCM ni laana kubwa sana .Hivi sasa hapa Dodoma ineandelea bomoabomoa ya kufa mtu.Vibanda vya biashara vingi vimenjwa ikiwa ni pamoja na ofisi za Shabiby na kituo cha mafuta cha ORYX kilichokuwa nyuma ya jengo la Shabiby.
Jengo la kampuni ya mabasi ya Shabiby lilikuwa bado jipya kabisa baada ya kulijenga upya hivi karibuni.
Kituo cha mafuta cha TOTAL kilichokaribu na stand ya Jamatani wao angalau wamefanikiwa kuokoa pump zao na wananyonya mafuta yaliyoko chini kwenye matenki.
Benki ya NMB nao ndio wanajaribu kuokoa mashine zao 3 za ATM zilizokuwakuwa zimefungwa katika kituo hiki cha mafuta cha TOTAL.
Kwa ujmla watu wengi sasa wanahangaika kuokoa mali zao.Zoezi limeanza saa 10 jioni hii na kuna taarifa wananchi walitangaziwa ingawa wengine wanasema hawakutarajia kuwa itakuwa ni leo.
Ukweli ni kuwa ajira nyingi sana zisizo rasimi zimeathirika maana vibanda vya biashara vilivyovunjwa ni vingi mno na eneo lililoathirika ni kubwa sana.
Eneo hili tunaambiwa ni mali ya Shirika la Reli nchini.
Ulinzi ni mkali.
Duh!Hatari sana mpaka ile petro station ya jamatini
Yaanze kuingia ndani yabanane na Mshikamano na Championduhh shabbiby magar yatapakipark wap
Apige picha hajipendi?Ka picha tafadhali mkuu
Yaanze kuingia ndani yabanane na Mshikamano na Champion
kwamba yaingie ndani abanane na Champion na Mshikamano au Shukran.Mabasi ya kichovu kinomamkuu kila nikiona avatar yako! lazima niweke mikono mfukon! Mungu fundi.shabbiby imevunjwaaa
weka na kichwanmkuu kila nikiona avatar yako! lazima niweke mikono mfukon! Mungu fundi.
Awamu ya bomoa bomoaHuman face kwa waliompigia kura tu na hawa ni wa Mwanza tu, mikoa mingine ni sura ya kishetani tu, roho mbaya, chuki za kutisha mtindo mmoja.