Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Hakuna namna sasa
Between the lines vp tena.punguzen ujuaji asee dom ni chama tawala damdam na lazima ilo eneo liandaliwe kna mradi mkubwa unapita hukoMkuu read between the line,wanasema mkuu ni mbaguzi kwani hata Machinga wqlifurushwa kuanzia dar ya Kariakoo na Makonda na kukawa kweupe dar hadi Ubungo ila zoezi lilipofika Mwanza akasema waachwe wapiga kura wake na the same applied kwenye bomoa bomoa!!
Achana na Shabiby,Hiyo picha ndio wewe kiasilia?shabbiby imevunjwaaa
Baa zote zilizovunjwa ni za matajiri toka kaskazini. Hao wagogo hela za kujenga hizo baa watazitoa wapi wakati tayari ni ombaomba?Mkuu usiwe na wasiwasi wanaovunjiwa siyo ombaomba maana hawana vibanda. Pale kuna wafanyabiashara.
Kweli kabisa. Kiwanja cha Railway, wapangaji wanalipa kodi Manispaa wapi na wapi?Hii ishu ni kutokana na mgogoro wa railway na manispaa railway wameshinda kesi wanasafisha uchafu kuweka bandari bubu
Bifu ya CDA na Manispaa hiyo. Fence iliwekewa X na CDA enzi hizo ndo mtawala wa Dodoma Mji. CDA kuondolewa Manispaa wakamalizia uzio huo. Mwenye kiwanja kaja anadai mali yake na hivyo kubomoa sehemu asizozihitaji na kuacha huo uzio kwa ajili ya kazi maalum. Naishauri Manispaa ikomae ibomoe huo uzio!Watu wa hivyo unawaacha wafurahishe jukwaa... Na viongozi wa wafanyabiashara walikuwa hawafikishi kila kitu kwa wafanyabiashara kwenye vikao mbalimbali walivyokuwa wanakaa,,hili jambo walishaambiwa sana sana.. Kibinadamu lazima uwaonee huruma maana vijana waliwekeza kwaajili ya kujipatia riziki,pa kwenda kwa sasa ndo mtihani,sabasaba kumejaa basi tabu tu.
Manisapaa walilijua hili,unajiuliza fensi waliojenga kuzunguka stand ya mkoa tena kwa kutumia kodi za wananchi walikuwa wanaweza nn,na wakajenga wakawekewa x
That true walivyo wababe wakajenga na ukuta standKweli kabisa. Kiwanja cha Railway, wapangaji wanalipa kodi Manispaa wapi na wapi?
Pamoja na kamwanaUkiyapanda huwa kuna vigoda ndani mule
DODOMA: Kampuni Hodhi ya Usimamizi wa Reli (RAHCO) wameanza kubomoa nyumba zilizo karibu na hifadhi ya reli kupisha ujenzi wa reli ya kisasa
Wananchi walioathirika na zoezi hilo wamesema wamepewa muda mchache wa kuhama na mali zao zimeharibika na kuwasababishia hasara kubwa
Ofisa uhusiano wa RAHCO, Catherine Mushi amesema walitoa notisi ya kuwabomolea tangia mwezi Novemba mwaka jana
Bomoa bomoa hiyo linategemewa kuchukua siku 3 hadi 5 na watu walio katika hifadhi ya reli hawatalipwa
===============================
Hivi sasa hapa Dodoma ineandelea bomoabomoa ya kufa mtu.Vibanda vya biashara vingi vimenjwa ikiwa ni pamoja na ofisi za Shabiby na kituo cha mafuta cha ORYX kilichokuwa nyuma ya jengo la Shabiby.
Jengo la kampuni ya mabasi ya Shabiby lilikuwa bado jipya kabisa baada ya kulijenga upya hivi karibuni.
Kituo cha mafuta cha TOTAL kilichokaribu na stand ya Jamatani wao angalau wamefanikiwa kuokoa pump zao na wananyonya mafuta yaliyoko chini kwenye matenki.
Benki ya NMB nao ndio wanajaribu kuokoa mashine zao 3 za ATM zilizokuwakuwa zimefungwa katika kituo hiki cha mafuta cha TOTAL.
Kwa ujmla watu wengi sasa wanahangaika kuokoa mali zao.Zoezi limeanza saa 10 jioni hii na kuna taarifa wananchi walitangaziwa ingawa wengine wanasema hawakutarajia kuwa itakuwa ni leo.
Ukweli ni kuwa ajira nyingi sana zisizo rasimi zimeathirika maana vibanda vya biashara vilivyovunjwa ni vingi mno na eneo lililoathirika ni kubwa sana.
Eneo hili tunaambiwa ni mali ya Shirika la Reli nchini.
Ulinzi ni mkali.

Mkuu kama ni kweli watunga sheria ndio wavunja sheria hakuna haja ya kubomoa jengo la bunge taratibu ni kulilipua haraka na barutiIkiwezekana hata bunge maana nahisi lipo kwenye hifadhi ya barabara.