Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

Kweli mkuu watu wengine hawajui wanaleta siasa eti serikali inataka kujenga ghorofa sijui
Watu wa hivyo unawaacha wafurahishe jukwaa... Na viongozi wa wafanyabiashara walikuwa hawafikishi kila kitu kwa wafanyabiashara kwenye vikao mbalimbali walivyokuwa wanakaa,,hili jambo walishaambiwa sana sana.. Kibinadamu lazima uwaonee huruma maana vijana waliwekeza kwaajili ya kujipatia riziki,pa kwenda kwa sasa ndo mtihani,sabasaba kumejaa basi tabu tu.

Manisapaa walilijua hili,unajiuliza fensi waliojenga kuzunguka stand ya mkoa tena kwa kutumia kodi za wananchi walikuwa wanaweza nn,na wakajenga wakawekewa x
 
..sasa mbona wakifika kule ghafla wanakuwa na " hyumani feis."

..tunataka HAKI SAWA kwa wote nchi nzima.
Mkuu tafadhali!! Haya mambo hayahusiani na kabila la kwetu au kule nilikuwa naishi wakati nasoma Lake Seko baada ya kufukuzwa Seminary. Jichunge sitaki mzaha, humanifasi siko kwa wote!
 
Watu wa hivyo unawaacha wafurahishe jukwaa... Na viongozi wa wafanyabiashara walikuwa hawafikishi kila kitu kwa wafanyabiashara kwenye vikao mbalimbali walivyokuwa wanakaa,,hili jambo walishaambiwa sana sana.. Kibinadamu lazima uwaonee huruma maana vijana waliwekeza kwaajili ya kujipatia riziki,pa kwenda kwa sasa ndo mtihani,sabasaba kumejaa basi tabu tu.

Manisapaa walilijua hili,unajiuliza fensi waliojenga kuzunguka stand ya mkoa tena kwa kutumia kodi za wananchi walikuwa wanaweza nn,na wakajenga wakawekewa x
Inauma sana Mali za watu kuteketea mi nilitaka nichukue flemu pale kwa shabiby kumbe mambo si mambo
 
Watu vichwa ngumu sana.. Mkiambiwa ondokeni mko ktk hifadhi ya reli au barabara hamtaki.. Dawa ya vichwa ngumu ni kuwa kichwa ngumu zaidi yao..
 
Inauma sana Mali za watu kuteketea mi nilitaka nichukue flemu pale kwa shabiby kumbe mambo si mambo
Bora hukuchukua na huku jamatini kwa nyuma watu walikuwa wanauza frem m1 hadi 2,alienunua ndo imekula kwake,anyway ukimpiga chura teke umemuongezea hatua. Wafanyabiashara watainuka tena katika vumbi walilodondokea na kujikung'uta na kusonga mbele
 
Ni kweli lile lilikuwa eneo la railway ma walishaambiwa waondoke mpaka kuwekewa X.. Railway imeshinda kesi na trh 1/12/2107 walipita kuwatangazia wahamishe Mali zao kwa usalama wa mali zao wanabomoa. So hakuna namna
Hapana ni hivi like eneo ni la railway ata kuangalia kuna baadhi ya miundombinu ya shirika la reli ila imeachwa .

Ishu ni ivi like eneo ilikuwaga Mali ya railway manispaa ndo wakawa wameomba shirika la reli waanze kulitumia wakawaruhusu kulitumia lakini kwa shughuli temporary sasa manispaa wao wakajenga masoko hadi stand wakawa wanakusanya ushuru pia wakawauzia na wafanya biashara kama akina shabby wakajenga halimashauri wakajenga na ukuta wa stand kutoza ushuru vizuri ndo railway wakawawekea bomoa ndo ishu imeenda mahakamani railway wameshinda miundombinu ya manispaa yote inaondoka yakiwemo masoko na stand .Kama utakuwa unapafahamu utaona kabisa kama Ile stand ya kisasa ipo katika makazi ya wafanyakazi wa reli.

Kingine usisahau wale wanajenga reli za kisasa wanaandaa mazingira kwa ajiri ya bandari kavu.Nachokisema nakijua kwa asilimia zote mkuu
Kuweka kumbukumbu sawa, Tar 10/10/2017 Rahco ilichapisha mikataba ya kuwataka wafanyabiashara na watu wote walioko maeneo ya Jamatini, Sarafina, Stendi kuu ya Dom na stendi ya ndogo ya Kisasa & Nane nane waanze kulipia maeneo wanayofanyia kazi, kwani maeneo hayo yote yanamilikiwa na Reli na wala si manispaa ya Dom..

Kilichotokea hadi bomoa bomoa ikaja ni pale mgongano wa kimaslahi kati ya Manispaa ya Dom & Railway kubishania uhalali wa nani anapaswa kuchukua kodi ya eneo husika ..

Stendi ya Jamatini na stendi kuu ya mkoa wamiliki wa mabanda na ofisi walikuwa wanalipa pesa kwa Manispaa kitu ambacha Mamlaka ya reli ilikuwa haikitaki kwani mmiliki wa maeneo hayo alikuwa ni TRC / TRL ...

Ni ukweli usiofichika kuwa mkurugenzi na aliyekuwa mkuu wa wilaya hapa Dodoma ndiye chanzo cha hayo yaliyotokea leo kwani wao ndio waliowashawishi watu wasilipe pesa yoyote kama kodi kwa TRL / TRC na hapo ndipo wamiliki halali walipowapigia wale wote waliokwishalipa pesa wakazichukue pesa zao ...

Kiukweli leo TRC wameamua tukose wote , wao wamekosa pesa na sisi tumekosa eneo la kazi mwisho wa yote wa kulaumiwa ni manispaa iliyowahadaa watu wa maeneo husika kuwa wasilipe chochote kwa mamlaka ya reli...
 
Mpaka akili ziwakae sawa wote.
Watumishi wa umma sasa akili zimeanza kuwakaa sawa.
 
hao TRL wakivunja kile kipande chote bila kufanya lolote mbona taswira ya mji itakua imeharibika sana!!
 
Sheria inafuata mkondo! Uzuri hakuna anayeonewa, wako watu walijua wana makosa ila wakawa wanademadema wakati wa awamu zile. Sasa awamu ya utekelezaji iko kazin
Sheria inafuatwa?

Ngoja nikiulize weee gamba, hivi ulimsikia Magu alivyokuwa Mwanza?

Ngoja nikukumbushe kidogo

Alisema kuwa Chama cha Mapinduzi, ndicho chenye "human face" peke yake, kwa hiyo wasibomeshwe.....

Kwa hiyo kwa wakazi.wa Kimara walibomolewa makazi yao kwa kuwa walichagua Chadema, kwa hiyo hawastahili human face!
 
Hawa TRL waende Nairobi wakaone serikali imewezaje kujenga reli kutoka Mombasa mpaka Nairobi bila kubomoa makazi ya watu. Kwanini kituo cha kushushia ama kubebea abiria kisijengwe nje ya Dodoma badala ya kulazimisha kijengwe kwenye kituo cha zamani.
 
Back
Top Bottom