mushairizi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 288
- 239
Taarifa iliwafikia wafanyabiashara wote tangu 6Novemba2016 walikaidi kama kawaida yao. Hakuna wa kulaumiwaTukumbuke kuwa awamu ya pili ya ujenzi wa standard gauge imeshasainiwa hadi Dodoma,contractors ni haohao Waturuki ni lazima sasa wanahitaji eneo ambalo reli hiyo itapita kwa ajili ya maandalizi ya awali kwa hiyo zoezi hilo ni sahihi maana wakicheleweshwa kupatiwa maeneo ya reli hiyo inapopita watadai waongezewe muda na wananchi wa maeneo hayo walishapewa taarifa na x ziliwekwa muda mrefu kuwa wahame