Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Twiga wamekwenda na sisi tunakwenda...tusubiri watuletee aioc na mhakama ya kadhi...mungu tuhurumie watanzania na tuepushe na hili janga

Hapa janga ni kuwa na ubalozi wa vatican Tanzania. Kwani bila kija huyo balozi kusingetokea mlipuko - Janga.
 
Kwa hiyo unataka kulazimisha watu wa kukamatwa?au huamini kama akina victor wanaweza kuhusika na hilo tukio. Muulize pengo atakuambia nani wamehusika. Ndomaana wamekaa kimya hawajatoa tamko lolote kitu ambacho si cha kawaida

Victoe alikodishwa kijiweni kwake anapopark na wenzie kusubiri abiria,na mbaya zaidi abiria alikimbia bila kulipa. Serikali iache siasa kwa kutaka kuonyesha inafanya kazi na kuna watuhumiwa tayari wanashikiliwa.
 
Victoe alikodishwa kijiweni kwake anapopark na wenzie kusubiri abiria,na mbaya zaidi abiria alikimbia bila kulipa. Serikali iache siasa kwa kutaka kuonyesha inafanya kazi na kuna watuhumiwa tayari wanashikiliwa.
Mkuu Unaweza kumsaidia ushahidi mahakamani!?
 
Source:al-khaleej
SIAMINI KABISAA.
yaani jana tumeambiwa MEMBE ANGEENDA ARUSHA LEO KUZUNGUMZIA UTATA KWA WATUHUMIA HAO,KUMBE WALE WAARABU WATATU WA FALME ZA KIARABU WALIACHIWA KIMYAKIMYA TOKA JANA JUMAPILI!!!!Duh.

CHA AJABU ZAIDI TAARIFA ZINATOLEWA NA VYOMBO VYA NJE.
yaani serikali iko kimyaaa BILA TAARIFA WAKATI YENYEWE NDO IMEWAACHIA.

haya hakuna haja serikali kuja na taarifa tena,MTATUEKEZA NINI?Tumesha soma tayari na tunajua.
SOURCE al-khaleej daily, reported on monday 13/05/2013

Mkuu hii inaonyesha serikali inavyowadharau raia. Hata mbwa ni nafuu! Ndio maana kila siku nasema kosa ni letu sisi raia. Issue kama hii ya kudharauliwa inatakiwa tuwafurumushe huko ikulu kama mbwa mwizi!
 
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewaachia huru Raia Wanne wa Saud Arabia waliokua wakiwashikilia kwa kuhusishwa na tukio la Ulipuaji wa Kanisa kwa Bomu la kurushwa na Mkono.

Hii ni baada ya Polisi kurudhika na uchunguzi wao kuwa raia hao wa Saud Arabia hawakuhusika na tukio hilo la ulipuaji Kanisa ambapo ktk tukio hilo watu watatu walipoteza maisha huku zaidi ya 60 wakijeruhiwa.

Polisi imeendea kuwashikilia watu 8 kwa mahojiano na Uchunguzi zaidi. Hii ni pamoja na Raia wa Tanzania mwenye asili ya Kiarabu ambae alikua Mwenyeji wa Wasaudia hao walioachiwa huru.

Sourc: TBC radio.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA MAENDELEO YA UPELELEZI WA TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA LA MT. JOSEPH – OLASITI JIJINI ARUSHA LILILOTOKEA TAREHE 05/05/2013

Ndugu wanahabari, mtakumbuka kwamba mara ya mwisho nilipokutana nanyi niliwaahidi kwamba nitaendelea kuwapa mara kwa mara taarifa juu ta maendeleo ya upelelezi wa tukio la mlipuko wa bomu lililotokea katika kanisa katoliki la mtakatifu joseph mfanyakazi parokia ya olasiti tarehe 05/05/2013 na kusababisha vifo vya watu watatu(3) na wengine kudhaa kujeruhiwa.




Kama nilivyowaeleza hapo awali, baada ya tukio hilo jumla ya watuhumiwa tisa(9) walikamatwa na kuhojiwa kuhusiana na tukio hilo la mlipuko wa bomu kanisani. Watuhumiwa haoa ni victor Ambros Kalist, (20), dereva wa bodaboda na mkazi wa kwa Morombo; Yusuph Lomayani Josee (18) mwendesha bodaboda mkazi wa kwa Morombo na George Bathlomeo Silayo (23) mfanyabiashara na mkazi wa Olasiti.




Watuhumiwa wengine waliokamatwa ni raia watatu toka nchi za falme za kiaruabu (UAE) Abdul Aziz Mubrak (30) mfanyakazi wa mamlaka ya mapato katika falme za kiarabu, Fouad Saleem Ahmed Al Hareez Al Mahri (29) mfanyakazi wa kikosi cha zimamoto katika Falme za Kiarabu, Saeed Abdulla Saad (28) askali polisikitengo cha traffic katika falme za Kiarabu, pamoja na raia mmoja wa Saudi Arabia Al-Mahri Saeed Mohseens (29)




Rai hao wa kigeni walikamatwa pamoja na wenyeji wao wawili ambao ni raia wa tanzania wenye asili ya Yemen. Majina ya watanzania hao ni Mohamed Suleiman Saad, (38) mkazi wa ilala jijini Dar es Salaam na Jasm Mubarak (29) mkaazi wa mtaa wa Bondeni jijini Arusha.


Uchunguzi wa kina uliofanywa na timu ya upelelezi ukihusisha taaasis nyingine za upelelezi FBI pamoja na INTERPOL kuhusiana na tukio hilo la mlipuko wa bomu kanisani umebaini kuwa raia hao wanne wa kigeni hawakuhusika katika shambulio hilo.




Baada ya jalada la tukio hilo kufikishwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali Arusha – divisheni ya mashtaka imeelekeza kuwa watuhumiwa hao wakabidhiwe ofisi za idara ya uhamiaji mkoa wa arusha ili kuona kama kuna taratibu zozote za kiuhamiaji ziikiukwa na wageni hao wakati walipoingia nchini ili hatua stahili ziweze kuchukuliwa dhidi yao.




Pia ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imeandaa mashitaka dhidi ya victor S/O Ambros kalisti na amefikishwa mahakamani leo kwa tuhuma za mauaji na kujaribu kuua. Uchunguzi dhidi ya watuhumiwa waliosalia unaendelea kwa sasa tunao wataalamu kutoka kenya na Uganda ambao tunashirikiana nao katika upelelezi wa shauri hilo.




Aidha, hadi sasa idadi ya majeruhi wa tukio hilo la mlipuko wa bomu wanaoendelea kupata matatibabu katika hospitali mbalimbali ni 31 ambao kati yao 19 wanaendelea na matibabu katika hospitali ya mkoa mount Meru arusha, 4 katika hospitali ya St. Elizabeth arusha na wengine 8 katika hospitali ya taifa muhimbili jijini dar es salaam na taarifa zinaonyesha hali zao zinaendelea kuimarika.




Hata hivyo jeshi la polisi linaendelea kufuatilia taarifa za watuhumiwa wengine wanaohusishwa na tukio hilo ili waweze kukamatwa na kufikishwa mahakamani pia jeshi la polisi linaendelea kuwaomba wananchi au raiayeyote mwenye taarifa zitakazowezesha kubaini mtandao wa kigaidi nawatuhumiwa wengine wanaohusika na tukio hilo wajitokeze na kuwasilisha taarifa hizo; tayari mkuu wa jeshi la polisi (IGP) amekwishaahidi zawadi nono ya Tshs. 50,000,000/= kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa hizo za siri kwa kukamatwa kwa watu hao.


ASANTENI KWA KUNISIKILIZA.
IMETOLEWA NA KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA
LIBERATUSI SABAS – ACP
TAREHE 13/05/2013.

Inabidi tumwogope sana Mungu. Maana hii hadithi hata uelezejwe haieleweki. Angalia

1. Yaani uchunguzi walioshirikiana na FBI na Interpol umewaonesha hawa watano wageni 'hawahusiki'!
2.Ila uchunguzi huo bado haujakamilika na hivyo unaendelea tena wakishirikiana na wakenya na waganda,
3. Pamoja na hayo wamemfungulia mashtaka Victor! Kuna wale raia wawili wa Tanzania wenye asili ya Yemen, taarifa haisemi kama wameachiwa au wamefunguliwa mashtaka. Kaw lugha nyingine Interpol na FBI wamekuwa silent and so is the police force!
4. Pamoja na kuwa uchunguzi haujakamilika wamewaachia watu ambao mwanzoni waliwakamata (randomly?) wakiamini wanahusika. Yaani uchunguzi ukiendelea ukagundua wanahusika itakuwaje? Au ndio inabidi uchunguzi uhakikishe hawa aliochiwa hawahusishwi kwa vyovyote?
5.Sitaki kuamini lakini pengine kuna maelekezo kutoka juu kwamba upelelezi huu kwa vyovyote vile uoneshe watu wa dini fulani hawakuhusika kama ilivyohisiwa bali ni wao wenyewe ili kujikosha na kufuta aibu yetu. Maana haiingii akilini kwanini wapo wengine ambao FBI na Interpol hawajasema kama hawahusiki lakini bado hawaachiwi na hawajafikishwa mahakamani? Au mie ndio sina habari? Naona kama kuna unnecessary capitalization ya Victor, naam VICTOR. Victor sasa anashtakiwa kwa kuuwa na kujaribu kuua. Hakuna dhamana.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA MAENDELEO YA UPELELEZI WA TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA LA MT. JOSEPH – OLASITI JIJINI ARUSHA LILILOTOKEA TAREHE 05/05/2013

Ndugu wanahabari, mtakumbuka kwamba mara ya mwisho nilipokutana nanyi niliwaahidi kwamba nitaendelea kuwapa mara kwa mara taarifa juu ta maendeleo ya upelelezi wa tukio la mlipuko wa bomu lililotokea katika kanisa katoliki la mtakatifu joseph mfanyakazi parokia ya olasiti tarehe 05/05/2013 na kusababisha vifo vya watu watatu(3) na wengine kudhaa kujeruhiwa.




Kama nilivyowaeleza hapo awali, baada ya tukio hilo jumla ya watuhumiwa tisa(9) walikamatwa na kuhojiwa kuhusiana na tukio hilo la mlipuko wa bomu kanisani. Watuhumiwa haoa ni victor Ambros Kalist, (20), dereva wa bodaboda na mkazi wa kwa Morombo; Yusuph Lomayani Josee (18) mwendesha bodaboda mkazi wa kwa Morombo na George Bathlomeo Silayo (23) mfanyabiashara na mkazi wa Olasiti.




Watuhumiwa wengine waliokamatwa ni raia watatu toka nchi za falme za kiaruabu (UAE) Abdul Aziz Mubrak (30) mfanyakazi wa mamlaka ya mapato katika falme za kiarabu, Fouad Saleem Ahmed Al Hareez Al Mahri (29) mfanyakazi wa kikosi cha zimamoto katika Falme za Kiarabu, Saeed Abdulla Saad (28) askali polisikitengo cha traffic katika falme za Kiarabu, pamoja na raia mmoja wa Saudi Arabia Al-Mahri Saeed Mohseens (29)




Rai hao wa kigeni walikamatwa pamoja na wenyeji wao wawili ambao ni raia wa tanzania wenye asili ya Yemen. Majina ya watanzania hao ni Mohamed Suleiman Saad, (38) mkazi wa ilala jijini Dar es Salaam na Jasm Mubarak (29) mkaazi wa mtaa wa Bondeni jijini Arusha.


Uchunguzi wa kina uliofanywa na timu ya upelelezi ukihusisha taaasis nyingine za upelelezi FBI pamoja na INTERPOL kuhusiana na tukio hilo la mlipuko wa bomu kanisani umebaini kuwa raia hao wanne wa kigeni hawakuhusika katika shambulio hilo.




Baada ya jalada la tukio hilo kufikishwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali Arusha – divisheni ya mashtaka imeelekeza kuwa watuhumiwa hao wakabidhiwe ofisi za idara ya uhamiaji mkoa wa arusha ili kuona kama kuna taratibu zozote za kiuhamiaji ziikiukwa na wageni hao wakati walipoingia nchini ili hatua stahili ziweze kuchukuliwa dhidi yao.




Pia ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imeandaa mashitaka dhidi ya victor S/O Ambros kalisti na amefikishwa mahakamani leo kwa tuhuma za mauaji na kujaribu kuua. Uchunguzi dhidi ya watuhumiwa waliosalia unaendelea kwa sasa tunao wataalamu kutoka kenya na Uganda ambao tunashirikiana nao katika upelelezi wa shauri hilo.




Aidha, hadi sasa idadi ya majeruhi wa tukio hilo la mlipuko wa bomu wanaoendelea kupata matatibabu katika hospitali mbalimbali ni 31 ambao kati yao 19 wanaendelea na matibabu katika hospitali ya mkoa mount Meru arusha, 4 katika hospitali ya St. Elizabeth arusha na wengine 8 katika hospitali ya taifa muhimbili jijini dar es salaam na taarifa zinaonyesha hali zao zinaendelea kuimarika.




Hata hivyo jeshi la polisi linaendelea kufuatilia taarifa za watuhumiwa wengine wanaohusishwa na tukio hilo ili waweze kukamatwa na kufikishwa mahakamani pia jeshi la polisi linaendelea kuwaomba wananchi au raiayeyote mwenye taarifa zitakazowezesha kubaini mtandao wa kigaidi nawatuhumiwa wengine wanaohusika na tukio hilo wajitokeze na kuwasilisha taarifa hizo; tayari mkuu wa jeshi la polisi (IGP) amekwishaahidi zawadi nono ya Tshs. 50,000,000/= kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa hizo za siri kwa kukamatwa kwa watu hao.


ASANTENI KWA KUNISIKILIZA.
IMETOLEWA NA KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA
LIBERATUSI SABAS – ACP
TAREHE 13/05/2013.

Literally this is a rubbish! How the hell this stupid goverment with narrow minded leaders want to play with our feelings! F¤K!
 
Kamanda Sabas, kama FBI wanasema raia hawa wanne hawakuhusika, lazima, kwa kushirikiana na Intepol, Uganda na Kenya, watakuwa wanajua ni nani alishiriki! At least watakuwa na hint. Je ni Victor? Au kuna mwingine alihusika hajakamatwa?
 
Hii ni matokeo ya kuwa na mtazamo mmoja kt mambo serious,

na bado meng yatadihirika na weng wataumbuka sana
 
Hii taarifa iko humu kitambo.
Pengine lugha iliyotumika na mbandikaji wa kwanza ndio imefanya baadhi yetu kutoiona!
 
Literally this is a rubbish! How the hell this stupid goverment with narrow minded leaders want to play with our feelings! F¤K!

Wnadhani kwa kutaja FBI na Intepol plus Kenya and Uganda ndio watatufanya tuwaamini! Nimepoteza imani kabisa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Kama ndivyo wanavyofanya kazi hatiwezi kushangaa ile ndege ya kijeshi iliyokuja na kuondoka 'unnoticed'
 
Ni kweli, hata yule mtoto aliyekojolea Qur'an bado hajakamatwa. wala hajafunguliwa mashtaka yoyote. Halafu kumbe kule segerea kuna mtoto wa miaka 10 kafungwa kwa kuiba pesa kidogo. Hiyo ndio Tanzania!!!

Si mlimwambia akikojolea sijui atageuka mjusi na yeye akataka kuthibitisha ni uongo! Ana kosa gani! Na huyo wa Segerea (kama yupo) ni kosa! Usitake kuhalalisha kosa kwa kutenda kosa!
 
Jeshi la Polisi Mkoani
Arusha limewaachia huru Raia Wanne wa Saud Arabia waliokua
wakiwashikilia kwa kuhusishwa na tukio la Ulipuaji wa Kanisa kwa Bomu la
kurushwa na Mkono.

Hii ni baada ya Polisi kurudhika na uchunguzi wao kuwa raia hao wa Saud
Arabia hawakuhusika na tukio hilo la ulipuaji Kanisa ambapo ktk tukio
hilo watu watatu walipoteza maisha huku zaidi ya 60 wakijeruhiwa.

Polisi imeendea kuwashikilia watu 8 kwa mahojiano na Uchunguzi zaidi.
Hii ni pamoja na Raia wa Tanzania mwenye asili ya Kiarabu ambae alikua
Mwenyeji wa Wasaudia hao walioachiwa huru.

Sourc: TBC radio.

sarakasi zimeshaanza.Baada ya kuona hali imepoa!Jeshi dhaifu hili jaman.
 
Raia wa Saudia ni mmoja tu nae anafanya kazi U.A.E,watatu ni raia wa U.A.E.
 
KIKWETE DHAIFU, HATUWEZI KUFIKA KWA MTINDO HUU.Wanawaogopa hao wa Saudia kwani watashindwa kuwasaidia waislamu wa Tanzania kuanzisha mahakama ya kadhi:argue::drum:
 
Ililikuwa wazi kwamba vijana wa kiarabu
hawakuhusika kama ilivyo kwa kijana wa bodaboda! Kwa ufupi wahusika wa tukio hili hawajakamatwa.

Kama hawajakamatwa huyo dereva wa bodaboda wanamfungulia kesi ya nini? Kuna kitu wanataka ku-potray kwa umma!!!! Amini usiamini!!! It is framed!! Na hawatakamatwa milele, kama ambavyo wa Ulimboka na Kibanda hawatakamwatwa!!!! Na wa kumuua mwangosi hakuna kitu, na muuaji wa padre naye at large!!
 
Back
Top Bottom