Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Mh.Iron Jioni njema hutokea kukamata randomly; Mwezi jana kwenye tokeo la Boston Marathon bomu, Tangazo la kwanza kabisa wamerekaniUS na taaluma zote za kiintelijensia baada ya mripuko tu walitangaza eti Msaudi ndo mhusika na ni kijana mwanafunzi tumemkaribia kumweka nguvuni !! (hapo boston peke kuna wanafunzi zaidi ya elfu5 wa kisaudia) Looh,
Wakuu hao baadaye kupeleleza waka geuza kibao na kuomba radhi na kutoa taarifa ingine kuwa walotenda ni wa CHECHENIA/warussi. eti wanafanana, Sasa mambo kama haya yanatokea kukamata mtu katika " WRONG PLACE and WRONG TIME"...
Lakini tusubiri reporti ya FBI hao mababa riwaya yao ni nini? Hakuna siri itakayo fichwa milele!!
good luck.

Yote yanawezekana. Ila sitaki kuamini wageni watano walikamatwa kwa bahati mbaya halafu weusi wamekamatwa kwa hakika! There is something here, sijui kama mnakiona. Wamerekeni hawakukamata, walitoa initial link waliyokuwa nayo, whivh is very fair
 
Hakuna kitu kibaya kama kuwa taifa nyonge. Hivi unafikiri wangekuwa ni watanzania wamekamatwa Uarabuni kwa tuhuma za ugaidi au kosa lingine lolote lile, unafikiri wangeachiwa kirahisi namna hiyo? Nakumbuka hata kuna afisa ubalozi wa nchi fulani ya mashariki ya kati alibaka dada wa kitanzania, na alipokuwa anajaribu kutoroka alikamatiwa uwanja wa ndege Dar. Baada ya kukamatwa nchi yake ilikataa kumwondolea kinga ili ashtakiwe na badala yake wakasema arusishwe nyumbani waangalie utaratibu mwingine. Hapo tukawa hatuna ujanja zaidi ya kufyata mkia na kumwachia muhalifu arudi kwao kuendelea na maisha yake kama kawaida. angekuwa ni Afisa ubalozi wa Tanzania huko Uarabuni nawaakikishia kingenuka. Kweli unyonge mbaya sana.

wewe mkuu kwa akili yako ndogo hata kama hawana hatia unataka waendelee kushikiliwa kisa tu ni wa nje huo mbona ni ushamba mkubwa sana ulionao mkuu.
 
Jeshi la Policcm linafanya kazi kisiasa, Alipotekwa Dr.Ulimboka tuliambiwa mkenya. Mlipuko wa Mabomu wasaudia. Sikatai kama wameshiriki au hapana, uchunguzi wa kina lazima ufanywe kabla ya kuwabambikia watu kesi nzito.
Wewe unataka uchunguzi upi kama huu hutaki kuamini pengine wewe na chama chako mmehusika kwenye hilo bom make taarifa za vyombo vyombo vya kiuchunguzi unapingana navyo.
 
Pole sana kijana Victor Mwendesha Boda Boda. Kama hawa wameachiwa basi huyu kijana wa bodaboda anashikiliwa wa kitu gani? Ila wengi hapa jamvini walisema kuwa kuna kitu behind ulipuaji huu na itahusishwa na chama fulani ifikapo 2015!!!! Take my words leo!!! Another video at work!!! But get assured, Tanzanians have changed!!!! Bora msitumie hizi silly methods za kudanganya umma. Mwachieni yatima wa watu Ambrose Victor, ana bibi yake na mdogo wake wanamtegemea. At the same time sina hakika kama ila bodaboda ni ya kwake au ni ya boss, na kama iko kwenye custody y uhakika maana anaweza kutoka na polisi wampige dana dana!! Inawezekanaje hadi leo hapatikani mlipuaji? FBI nao wameshindwa? Au kwa kuwa hakuna white blood victim? Nimechoka!!
 
KIKO WAPI?
AMA MAOTA??
yaani tuliambiwa leo MEMBE ANAENDA KUONGEA NAO.
KUMBE WATU TAYARI WANAKULA RAHA FALME ZA KIAARABU.
TAARIFA YA NCHI YETU TUNAISIKIA TOKA VYOMBO VYA NJE????????Duh
Siamini.
 
suala la ugaidi wala siyo suala la kulaumiana kama marekani pamoja na taaluma yao kubwa ya kiusalama lakini wameripuliwa zaidi ya maramoja kwa hiyo ukiona mtu anarushia mpira mtu huyo anamatatizo na lazima awe na agenda yake ya siri.
 
Juzi bungeni Halima Mdee alisema sentensi flani hivi, 'Kwa jinsi serikali inavyosema/inavokataa kufanyia kazi tuhuma za usalama wa Taifa wanaujua mchezo mzima'! I want to believe hata hapa Arusha wanaujua mchezo mzima! Wanajua. Wanajua. Wanajua.
 
Last edited by a moderator:
Vip kuhusu dereva bodaboda,Yasemekana yeye alimpakia mlipuaji kama abiria wengine!!!!!!!!!! Naye wamwachie akaendelee na kazi yake ya bodaboda!,
 
wewe mkuu kwa akili yako ndogo hata kama hawana hatia unataka waendelee kushikiliwa kisa tu ni wa nje huo mbona ni ushamba mkubwa sana ulionao mkuu.
Alah! Kumbe tunaweza kufanya uchunguzi kwa kasi kiasi hiki mpaka watuhumiwa wanajulikana kama wana makosa au la ndani ya siku chache tu! Mbona hii kasi ya uchunguzi haikutumika kwa watuhumiwa kama Basili Mramba na wengineo maana kusingekuwa na maneno mengi kuwahusu leo Hii. Kweli nimeamini hata tukiitwa wadanganyika hatujaonewa. Yaani hata ile akili ya kuzaliwa tu ya kujiuliza hii kazi isiyo ya kawaida ya uchunguzi imetoka wapi tunakosa kabisa. Pole sana ndugu yangu. Lakini ukumbuke hao waarabu mimi sikuwahita wahalifu, bali niliwaita watuhumiwa. Kinachonishangaza ni jinsi Uchunguzi umekamilika kwa haraka na kesi yao kuamuliwa ndani ya kipindi kifupi. Sote tomezoea kuona kesi zikichukua muda hapa iwe mtuhumiwa ana hatia au hana. Jiulize tena ndugu yangu. Na pia ningependa kukuuliza, hivi chombo kinachoamua kwamba mtuhumiwa ana hatia au hana ni Mahakama, Polisi, Usalama wa taifa au nani? Na kama ni Mahakama, Ni lini hiyo kesi yao iliamuliwa?
 
Diversions za kisiasa..yeyote mwenye akili timamu alipaswa kujua tangu awali kwamba bomu halikua ugaidi wala udini..

siku zote siasa zina diversions lakini je bomu Kanisani, kanisa kuchomwa, padri kupigwa risasi ndio ishara ya diversion katika siasa?
 
Wewe unataka uchunguzi upi kama huu hutaki kuamini pengine wewe na chama chako mmehusika kwenye hilo bom make taarifa za vyombo vyombo vya kiuchunguzi unapingana navyo.
Na Ambrose Victor wanamshikilia wa nini wakati yeye alikodiwa tu mkuu? Kama polisi walioko nje wanashindwa kumkamata mhalifu yeye Victor aliyempakia mara moja tu na tena akakimbia na hela yake atamtambua hata akimwona? Eti Tanzania inajidai ina security!!! Inawezekana ipo ila hili suala la bombing nahisi kitu? But hatuwezi kuchezea Watanzania kiasi hiki.
 
KIKO WAPI?
AMA MAOTA??
yaani tuliambiwa leo MEMBE ANAENDA KUONGEA NAO.
KUMBE WATU TAYARI WANAKULA RAHA FALME ZA KIAARABU.
TAARIFA YA NCHI YETU TUNAISIKIA TOKA VYOMBO VYA NJE????????Duh
Siamini.

wewe ulitaka wakakae gongolamboto na ile hali kwao ni uarabuni.
 
Na hao vijana wa bodaboda waachiwe pia. hivi hata hao waliokutwa na simu ya victor wanawatia hatiani? Ambrose au watz nao waachiwe. Masikini watz walala hoi wameachiwa msalaba. Mungu yupo na atasikia dua zetu.
 
Ok, kwahiyo kesi ya Lwakatare imetenguliwa na FBI siyo kwa sababu wao ndiyo walioipandikiza hiyo kesi?
 
Kweli nimeamini ngozi nyeupe hotel za bongo ataingia hadi na ndala na hawez zuiwa getini ila wewe mbongo huchelewi kuitwa kibaka.,ngozi nyeusi waliopita karibu na kanisa watasota ndani milele ila wale waarabu wanakula bata,tena hapa usikute Membe na Kikwete wameomba msamaha kwa umoja wa nchi za kiarabu
 
Back
Top Bottom