andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,024
sasa alama ya vidole inasaidia nini kama hakuna database?..labda tusubiri hivyo vitambulisho vya taifa ili wachukue fingerprint za raia wote ziwe kwenye database ndo tutaweza kamata wahalifu kwa ushahidi wa fingerprint.
hivi haujui kuwa polisi wa tanzania huwa wanachukuaga alama za vidole na wanamkamata mshtakiwa kuanzia kitambo tu?