Bodi ya mikopo kutoa mikopo kwa level ya diploma ina maana wako 'Satisfactory' kwa level ya degree

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,729
2,082
Salaam leo jumapili siku ya Bwana.

Kwenye mada.

Kwa hali hiyo sitegemei kusikia wanafunzi wa degree wamekosa ufadhili huu muhimu wa mkopo wa elimu ya juu.

Kwa sababu kama sikosei hili ndio lengo kuu la bodi ya mikopo ya elimu ya juu.Kuanzia degree kwenda juu.Kama ipo ya ziada basi sawa na wengine wa level ya kati ni sawa wapate lkn basi uwe umejitosheleza kwa wale wa elimu ya juu.

Kama wa elimu ya juu wanakosa wakapata wa elimu ya kati hapo siwezi kukuelewa vinginevyo labda una lengo jingine.

Ndio maana inaitwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Ni matumaini yangu kuwa bodi watazingatia hili.Ni muhimu ndoo moja ijae kwanza ndio ije nyingine.Vinginevyo huwezi kunishawishi.

J2 njema.
 
Salaam leo jumapili siku ya Bwana.

Kwenye mada.

Kwa hali hiyo sitegemei kusikia wanafunzi wa degree wamekosa ufadhili huu muhimu wa mkopo wa elimu ya juu.

Kwa sababu kama sikosei hili ndio lengo kuu la bodi ya mikopo ya elimu ya juu.Kuanzia degree kwenda juu.Kama ipo ya ziada basi sawa na wengine wa level ya kati ni sawa wapate lkn basi uwe umejitosheleza kwa wale wa elimu ya juu.

Kama wa elimu ya juu wanakosa wakapata wa elimu ya kati hapo siwezi kukuelewa vinginevyo labda una lengo jingine.

Ndio maana inaitwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Ni matumaini yangu kuwa bodi watazingatia hili.Ni muhimu ndoo moja ijae kwanza ndio ije nyingine.Vinginevyo huwezi kunishawishi.

J2 njema.
Una tatizo la kufikilia kwani Dip sio elimu ya juu, tena kwa taarifa yako kuna Dip yenye uzito ata kiliko degree unazo semea, hata kiutendaji diploma holdeŕ wana ufanisi zaidi ya baadhi ya degree holders, acha ushamba na ulimbukeni wa degree.
 
Uko sahihi, lakini kinachpaswa ni kubadili Sheria za bodi hiyo na badala yake itambulike kama bodi ya mikopo elimu ya vyuo vya kati na vyuo vikuu. Ni lazima Kila mtanzania mwenye uhitaji apate msaada bila kuangali daraja lake. Nafikiri hili ndilo linafanyika sasa.
 
Una tatizo la kufikilia kwani Dip sio elimu ya juu, tena kwa taarifa yako kuna Dip yenye uzito ata kiliko degree unazo semea, hata kiutendaji diploma holdeŕ wana ufanisi zaidi ya baadhi ya degree holders, acha ushamba na ulimbukeni wa degree.
Una maanisha nini unaposema Kuna dip yenye uzito kuliko degree.
 
Uko sahihi, lakini kinachpaswa ni kubadili Sheria za bodi hiyo na badala yake itambulike kama bodi ya mikopo elimu ya vyuo vya kati na vyuo vikuu. Ni lazima Kila mtanzania mwenye uhitaji apate msaada bila kuangali daraja lake. Nafikiri hili ndilo linafanyika sasa.
Je inatosheleza sasa au wananyunyiza nyunyiza tu mradi waonekane wametoa.
 
Una tatizo la kufikilia kwani Dip sio elimu ya juu, tena kwa taarifa yako kuna Dip yenye uzito ata kiliko degree unazo semea, hata kiutendaji diploma holdeŕ wana ufanisi zaidi ya baadhi ya degree holders, acha ushamba na ulimbukeni wa degree.
Haki Yani wakiwa wasomi wa namna yako, ni Sawa na bure
 
Salaam leo jumapili siku ya Bwana.

Kwenye mada.

Kwa hali hiyo sitegemei kusikia wanafunzi wa degree wamekosa ufadhili huu muhimu wa mkopo wa elimu ya juu.

Kwa sababu kama sikosei hili ndio lengo kuu la bodi ya mikopo ya elimu ya juu.Kuanzia degree kwenda juu.Kama ipo ya ziada basi sawa na wengine wa level ya kati ni sawa wapate lkn basi uwe umejitosheleza kwa wale wa elimu ya juu.

Kama wa elimu ya juu wanakosa wakapata wa elimu ya kati hapo siwezi kukuelewa vinginevyo labda una lengo jingine.

Ndio maana inaitwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Ni matumaini yangu kuwa bodi watazingatia hili.Ni muhimu ndoo moja ijae kwanza ndio ije nyingine.Vinginevyo huwezi kunishawishi.

J2 njema.
Wanafunzi wengi wa elimu ya juu hawajapata mikopo...Wengi tu.
 
Back
Top Bottom