Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Na pia bodaboda ndio waongoza kwa kuvunja kibubu naomba niishie hapo.

Maendeleo hayana chama
 
Hawa wanawake wanafanana mkuu na si ajabu alikunjwa na boda boda tena uchochoroni tu kapandisha gauni then imo halafu hapa anavyowaponda wenzie

Hawaaminiki
Mimi nimenukuu maneno yake tuu, aliwahi kukiri humu kumsaliti mpenzi wake, Leo naona anatoa ushuhuda kuhusu wengine....
Ndugu zangu tuheshimu ndoa zetu hata kama kuna karaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Um
Ni hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Salute umemaliza kila kitu.
 
Ukitaka kukielewa kiumbe mwanamke ni ngumu sana.
to-understand-a-part-1-to-how-understand-man-a-edition-4626233.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom