Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

hhahahahahaa..umejuaje km wanasimamia kucha...hapana mie hata iweje..hata nibanwe vip
Story zao nyingi tukiwa maskini ni jinsi walivyomkula fulani, nani wamempiga style fulani, sijui mke wa fulani wamevunja mpk kibubu yaani wao story zao ni kushindana tu nani amekula mademu wengi.
Ila wake za watu wengi ni muhanga sana wa hawa jamaa na walivyo na sifa sasa akikula hawezi kukutunzia siri ndio maana inakua rahisi sana mke wa mtu kugundulika akichepuka na bodaboda.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Story zao nyingi tukiwa maskini ni jinsi walivyomkula fulani, nani wamempiga style fulani, sijui mke wa fulani wamevunja mpk kibabu yaani wao story zao ni kushindana tu nani amekula mademu wengi.
Ila wake za watu wengi ni muhanga sana wa hawa jamaa na walivyo na sifa sasa akikula hawezi kukutunzia siri ndio maana inakua rahisi sana mke wa mtu kugundulika akichepuka na bodaboda.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk

hahhahaa...majanga aisee..mie nadhan ukimpa nafasi ndo matokeo hayo
 
Komenti bora 2018.
Ni hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wanapenda sana kupanda bodabodA hata sehemu ambayo hangeweza tembea kwa miguu unakuta kwa siku anatumia zaid ya elf 5 kwenye bodaboda . Wakati mume wake kamuhachia elf 5 hapo bado hajatoa elf 2 ya kibati hajapika . Mwenzetu ishanitokea na niliwekA uzi umu jf . Baada ya kukuta sms za lijamaa la boda libonge lichafu.kwenye simu ya wife mpaka leo iyo kitu inaniuma

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😤😂😂... mimi natumia boda kwa nadra sana.. (nna matatizo ya mgongo)ila ht nikitumia eti sijawah ona boda wa kunisumbua kbs akili yangu jaman..yaan ht mume anikute nimrsimama na boda hatajali kbs kbs..inauma kiukweli...pole
 
... mimi natumia boda kwa nadra sana.. (nna matatizo ya mgongo)ila ht nikitumia eti sijawah ona boda wa kunisumbua kbs akili yangu jaman..yaan ht mume anikute nimrsimama na boda hatajali kbs kbs..inauma kiukweli...pole
Pole sana kwa matatizo ya mgongo,yupo dr. anasaidia sana matibabu ya migongo,kiuno,miguu. Ni dr.mzuri anatumia dawa hizi hizi za hosp ila ana namna ya uchanganyaji. Anaweza kukusaidia kabisa tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom